jobless tycoon
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 676
- 327
wasogezee bakoraaa...na mawe utapata thawabu
Waislam hawataki upuuzi wa kiongozi,ukileta ujinga unachapwa bakora,siyo wale wasioweza kuhoji unabii na utume wa uongo
Sijaona uhusiano wa alichokiandika jamaa na majibu yako... Majibu yako yamenipa maswali yafuatayo...Umeishakunywa gongo la padri basi unaropoka tu hivi nyie Chadema Waislam waliwakosea nini.
kumezuka mapigano makali kwenye msikiti wa Taqwa hapa Bagamoyo waislam wanachapana bakora muda huu sababu haijajulikana..hali ni tete sana
Takkbirrrr!!!!!!!!!!!!!!!!!! Alwakubar!
Wewe kauzu kaa kimya huyo alioleta hii habari ni kiongozi wa Chadema Arusha uzuri wa JF tunafahamiana kwa ID zetu.Sijaona uhusiano wa alichokiandika jamaa na majibu yako... Majibu yako yamenipa maswali yafuatayo...
1. Ulielewa content ya taarifa ya jamaa..???
2. Padre amehusikaje kwenye maelezo ya jamaa..??
3. Ukristu umehusikaje kwenye maelezo yale..??
4. Chadema imehusikaje...???
Waiti foe unswers
wasogezee bakoraaa...na mawe utapata thawabu
kumezuka mapigano makali kwenye msikiti wa Taqwa hapa Bagamoyo waislam wanachapana bakora muda huu sababu haijajulikana..hali ni tete sana
Hahahaaaaaaa! Kuchinja kwetu ibada,kuhiji ibada,kujilipua ibada,kutokomeza dini nyingine kwa kuua ibada na KUTWANGANA SISI WENYEWE IBADA kwetu tuacheni jamani
Waache wapigane kwani ni sehemu ya ibada yao ya kumtumikia mola wao...
Teh teh teh unauliza senene Kemondo?