Kwa nini wanaingia kwenye vita vyenye matokei? Wanakamilisha ratiba kama uganda crane na Mali kwenye afcon. Njaa tuu. Ruzuku tu. Washindwe na washindwe tena.
Hata kama vyama vingeungana vyote mfumo wetu wa uchaguzi hautoi mwanga wa uchaguzi huru na haki kutendeka. Kama hakuna tume huru ya uchaguzi, kaka matokeo ya rais hayahojiwi baada ya kutangazwa na tume hiyo hiyo inayowajibika kwa rais na chama. Kama hakuna mgombea binafsi/huru tusahau. Mm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.