Recent content by Kubwjing

  1. Kubwjing

    Baada ya kuilemaza, Marekani yazuia Meli ya Iran

    Mkubwa mpishe, Huu ubabe ni wa kiwango kingine sasa
  2. Kubwjing

    Moja ya tukio la kijinga na la kitoto ni kufanya sherehe ya HARUSI, ujinga ujinga mtupu

    Umuhimu wa matukio kama haya ni kukutanisha Ndugu, Jamaa na Marafiki kujenga Umoja na Ushirikiano Ni zaidi ya hizo ratiba na chakula
  3. Kubwjing

    Rostam Aziz ndiye kidume pekee hapa Tanzania; Gesi yake, media yake, dhahabu yake, Mbuga za wanyama zake!

    Kila lenye mwanzo halikosi mwisho, Mwenyezi Mungu amjalie Uzima na Afya.
  4. Kubwjing

    Wataalamu wa vitasa vya milango ya mbao tupeni ushauri

    Kama bajeti yako ni strong nunua vitasa vya Yale (vya US) au Orlando hasa brand ya Icon (vya Italy)
  5. Kubwjing

    Huwezi kuzaliwa na kuishi ulaya au marekani ukashindwa kujua lugha ya kihaya

    Sijui kwanini nyuzi zingine zinaachwa hewani na Mods
  6. Kubwjing

    Kutokwa na damu puani kunasababishwa na nini? Na tiba mbadala ni ipi?

    Kutokwa na damu puani mara nyingi ni Kawaida tu hasa kama una damu nyingi. Trust me Huwa natokwa na damu pia kama nikikaa kwenye mazingira ya joto au nikila vitu vya kuongeza damu ndani ya wiki 1 tu Tranexamic Acid uliyopewa inasaidia kuzuia kutoka kwa muda tu Pia, Mtu anayetokwa na damu...
  7. Kubwjing

    Chris Lukosi naye afurahia masahibu ya Kigwangalla

    Kwani lazima amtafutie yeye kama waziri? Alikuwa na uwezo wa kumuagiza Mtu amsaidie mwenzie kitanda
Back
Top Bottom