Sheikh Shaffi pia aliyasema haya mapema
Wallah ni kama BAKWATA wana nia ya kupunguza nguvu za Ahalu Sunna wal Jamaa, wameona Al Hikma inabeba umma kwa wingi katika kumsikiliza na kumfuatilia Sheikh Kishki
Na haya masuala waliweza kuyamaliza BAKWATA kwa hakika Ila wameayaacha yamekomaa
Hii Nchi suala la Rushwa lilipigwa marufuku na kutoa au kupokea Rushwa liliogopwa kipindi cha Karume, Nyerere mpaka kwa Sokoine...ila sshv usishangae hata wafanyakazi wa TAKUKURU wakikuomba RUSHWA na huna cha kuwafanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.