Recent content by Kubwjing

  1. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania BAKWATA ijetenge na kauli za Ostaz Juma Namusoma

    Sheikh Shaffi pia aliyasema haya mapema Wallah ni kama BAKWATA wana nia ya kupunguza nguvu za Ahalu Sunna wal Jamaa, wameona Al Hikma inabeba umma kwa wingi katika kumsikiliza na kumfuatilia Sheikh Kishki Na haya masuala waliweza kuyamaliza BAKWATA kwa hakika Ila wameayaacha yamekomaa
  2. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Katibu mwenezi CCM: Kihongosi out, Manara inn

    MANARA??? CCM sio wajinga kiasi hicho.
  3. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Ni Tanzania ya mwaka 1990. Ni kitu gani hakistahili kuwa kwenye picha hii

    Kulikuwa na mapenzi ya kweli, naona hao watu wazima wapo pair pair na kushikana kbs mikono...nowdays hakunaaa
  4. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Vitu/vifaa gani ulivinunua kwa mihemko na umejikuta huvitumii kabisa?

    🤣🤣🤣🤣 nani alikupa?
  5. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Vitu/vifaa gani ulivinunua kwa mihemko na umejikuta huvitumii kabisa?

    Specifications zake zikoje? Unaiuza?
  6. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Africa tuna viongozi wa ajabu sana. Malawi wamempeleka mtoto wa waziri kushiriki shindano la Miss World, wamemwacha mshindi halisi aliyeshinda taji hi

    Mi nliambiwa kun mwaka pia hp TZ alipitishwa Mhindi asie na sifa kwenda kwny Miss World competition akaachwa mweusi mwenye sifa ati🤣🤣
  7. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Huko FB wananchi wanafurahia kifo cha Kamishina wa polisi. Taifa limefikia pabaya sana.

    Alikuwa mshabiki wa kolo?🤣🤣🤣
  8. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Tahadhari! Bahari Ina Roho Na Inaweza Kukuua

    ZInatokea wapi?
  9. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Tahadhari! Bahari Ina Roho Na Inaweza Kukuua

    Sio mizoga yote. Mbona Binadamu akizama anapotelea chini? Ni suala la maumbo tu
  10. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Sura ya Al- Ahzab

    Allah Akbar
  11. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Tahadhari! Bahari Ina Roho Na Inaweza Kukuua

    Vipi kuhusu ardhi?
  12. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania FT: Gaborone United 1-1 Young Africans SC | CAFCL-1st Leg | Botswana National Stadium | 05-09-2026

    Bila shaka wewe ni Kolo 🤣🤣🤣
  13. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Hii Nchi suala la Rushwa lilipigwa marufuku na kutoa au kupokea Rushwa liliogopwa kipindi cha Karume, Nyerere mpaka kwa Sokoine...ila sshv usishangae hata wafanyakazi wa TAKUKURU wakikuomba RUSHWA na huna cha kuwafanya
Back
Top Bottom