Inategemea tu na familia husika, Haimaanishi familia zote zenye uwezo basi binti zao wananyanyasa Waume, kuna mabinti wanajitambua kiasi Ndoa zao hazina connection na familia za kwao au wazazi wao mbona hasa kwa Wazungu na Blacks kulingana na tamaduni, desturi na dini pia
Kwenye familia za...
Mbn zinaeleweka? Overview ni kuwa kuja Baba anampeleka Mwanae mdg kumfundisha kuwinda kwa kutumia upinde far away kwny kijiji chenye watu na makaburi ya ndugu zao waliouawa miaka mingi iliyopita....then wanafika kwenye kijiji cha mizimu na Vampires walio hai, so inabidi kuwaua kwa mishale
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.