Recent content by Kubwjing

  1. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Trump anatishia nyau kutangaza eneo la Hormuz kuwa 'eneo la Marekani'

    Trump amekua kama Comedian kwa watu wa Marekani
  2. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa

    Haji Manara mbali na kuwa ni Mwanasoka pia si ni Mwanasiasa wa CCM? Hayo aliyoyazungumza tutajuaje hayana maslahi yake kisiasa?
  3. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi wa Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA) tuna mazingira magumu ya kazi na maslahi duni

    Umesikika Mkuu, naamini serikali yetu sikivu itayafanyia kazi haya maombi yako kwa wakati
  4. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Hivi hii Yanga itakua ni project ya chama cha mapinduzi ama?

    Hakuna cha CCM wala chama kingine chochote, siri ni Uekezaji na Uongozi bora wa timu
  5. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania tuko hivi? Ni laana gani?

    Nice Topic Hao ndio Wabongo na roho zao, nyeusi kama wao🤣
  6. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Mdogo wangu Eeh! Kuoa mwanamke ambaye familia yake imekuzidi kila kitu ni mtihani sana. Usithubutu!

    Inategemea tu na familia husika, Haimaanishi familia zote zenye uwezo basi binti zao wananyanyasa Waume, kuna mabinti wanajitambua kiasi Ndoa zao hazina connection na familia za kwao au wazazi wao mbona hasa kwa Wazungu na Blacks kulingana na tamaduni, desturi na dini pia Kwenye familia za...
  7. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Kwa wapinzani wenzetu hivi nyie hamli, hamnywi, hamfanyi mazoezi?

    Maana halisi ya Ubinafsi, woga na Ujinga
  8. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Seriously, hivi Samia ni Rais kwa mujibu wa uchaguzi gani?

    Hey, unamfahamu FaizaFoxy?
  9. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Wabongo wambea sana, je kama amependa tu kuloose wait deliberately?
  10. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Mwamuzi wa Somalia, Artan baada ya kuchezesha UEFA Super Cup asema 'Hili lilikuwa Kombe langu la Dunia'

    Anastahili, Hongera sana kwake
  11. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Movie 🎦 night 🌃

    Mimi na admire Horror sana
  12. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Movie 🎦 night 🌃

    Mbn zinaeleweka? Overview ni kuwa kuja Baba anampeleka Mwanae mdg kumfundisha kuwinda kwa kutumia upinde far away kwny kijiji chenye watu na makaburi ya ndugu zao waliouawa miaka mingi iliyopita....then wanafika kwenye kijiji cha mizimu na Vampires walio hai, so inabidi kuwaua kwa mishale
  13. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Movie 🎦 night 🌃

    Ni Horror
  14. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Movie 🎦 night 🌃

    Mm najiandaa kuwatch "28 Years later"
Back
Top Bottom