WanaJF Naombeni msaada kujua sehemu za burudani mjini mtwara,natarajia kuwa mtwara kikazi kwa wiki 3,je kuna sehemu nzuri ya burudani kama vile night club na je kuna watoto wazuri wa kuvinjari? N.k
Wanajf,naombeni msaada,nina digrii ya elimu maalum,sasa nataka nikachukue masters ya kati ya social work na human resources,hapa tz vyuo gani vinatoa kozi hizi? na ipi ni nzuri?
Eid Mubarak wanajf,naombeni msaada,nina bachelor ya elimu maalum,nataka kuchukua master kati ya human resource na social work je vyuo gani hapa tz vinatoa kozi hizi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.