Ukitaka kuumiza kichwa shabikia timu hizi..

Ukitaka kuumiza kichwa shabikia timu hizi..

Joined
Jun 15, 2013
Posts
22
Reaction score
5
Simba Na Yanga zinatufanya mashabiki vichwa vinatuuma sana emu we fikiria unasikia Azam wameleta basi la kisasa kabisa kwa ajili ya wachezaji na viongozi, unajiuliza kwa nini isiwe simba au yanga badala yake unasikia upuuzi huu, Simba wao kila kukicha migogoro juu ya uongozi wakati ata uwanja wa mazoezi wa kisasa timu aina, Yanga nako ni vituko timu inaongoza ligi kocha anatimuliwa, ahadi ya uwanja aileweki zimebaki porojo tuu kila kukicha, kwa kweli hizi timu zinaumiza vichwa.
 
pole zako wewe! wenzio tumeshazoea mizengwe na wala haituumizi kichwa tena.ndo maana wengine wameamua kutafuta faraja kwenye vilabu vya ulaya
 
Simba Na Yanga zinatufanya mashabiki vichwa vinatuuma sana emu we fikiria unasikia Azam wameleta basi la kisasa kabisa kwa ajili ya wachezaji na viongozi, unajiuliza kwa nini isiwe simba au yanga badala yake unasikia upuuzi huu, Simba wao kila kukicha migogoro juu ya uongozi wakati ata uwanja wa mazoezi wa kisasa timu aina, Yanga nako ni vituko timu inaongoza ligi kocha anatimuliwa, ahadi ya uwanja aileweki zimebaki porojo tuu kila kukicha, kwa kweli hizi timu zinaumiza vichwa.

Hivi Simba ile hadithi ya kujenga uwanja wa kisasa Bunju imeishia wapi?
 
Simba Na Yanga zinatufanya mashabiki vichwa vinatuuma sana emu we fikiria unasikia Azam wameleta basi la kisasa kabisa kwa ajili ya wachezaji na viongozi, unajiuliza kwa nini isiwe simba au yanga badala yake unasikia upuuzi huu, Simba wao kila kukicha migogoro juu ya uongozi wakati ata uwanja wa mazoezi wa kisasa timu aina, Yanga nako ni vituko timu inaongoza ligi kocha anatimuliwa, ahadi ya uwanja aileweki zimebaki porojo tuu kila kukicha, kwa kweli hizi timu zinaumiza vichwa.

Simba na Yanga ni saratani inayoua soka la bongo na mpaka WaTZ waje kugundua hilo itakuwa tayari Tz ashapoteza uanachama wa FIFA.
 
attachment.php
 
klabu hizo hipo kwa ajili ya kutengenezea majina ya watu hapa bongo.Hakuna ''kiongozi '' mwenye mapenzi ya dhati ndani ya klabu hizo,wengi ni waganga njaa,wauza sura/ majina na wajanjawajanja wa mjini.

wengine watumia klabu hizo kuficha maovu yao..ili wapate huruma ya washabiki wao..
 
We ndio haijui mizengwe iliyopo kwenye hizi timu ndio inatufanya tuzipende
 
Mimi ni shabiki mkubwa wa team mbili yaani Yanga na Barcelona lakini moyo wangu wa dhati upo Barcelona. Kwa soka la sasa la Tanzania tukiendelea hata miaka 5 ijayo michuano kama ya CHAN tutaisikia tuu kwa wenzetu, hizi Klabu mbili na janga.
 
Back
Top Bottom