Very strong idealism Buddha, it s true kabisa katika soko la filamu tz uchawi ni hayo mambo uliyoyazungumzia Labda nyongeza kidogo kunatatizo Katika umoja wao kama wasanii sijui wanashida gani Kwasababu wamefanikiwa kujiwekea Matabaka wao wenyewe, kwamfano kuna incidence fulani ya uzinduzi wa...
usikalili maisha, time will come kwa hawa watu wanaoonekana ni waoga, waogofi wakakubali kufanya mabadiliko unajua ogopa sana mtu mpolee au Mkimya kwani siku akikusudia kufanya jambo ujue amedhamiria. So mabadiliko hayakwepeki hatakama itakua ni Karne ya 30.
Mwanaumee kuwa katika mahusiano yamkini na dada Fulani uliyempenda then dada Yule anaanza mikato fulani sio kama kukupeleka peleka kama mbuzi Halafu jamaa zako wa kawaida hawakushauri chochote ......although wapo watakaosema wakati wa kutongoza hukuwa Nao but mwanaumee anapopotea lazima...
🤗🤗 nikupongeze kwa ujasiri wa kuuliza, what I know n kwamba zawadi kubwa kwa wenzetu wamagharibi hasa kwa jinsia ya kike ni MAUA hapo ataamini kweli unamthamini yangu n hayo🍁🌷🌹
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.