comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 2,732
- 2,477
- Thread starter
- #21
nani muhuni weweKua dogo. Acha uhuni uhuni.
Na bangi upunguze
nani muhuni weweKua dogo. Acha uhuni uhuni.
Na bangi upunguze
oops... Uozo mtupu, how can Harmonize be better than the one who pumped up his career HahahaHa unafeli boss haiwezi kuwa hata kidogoOohhooo it's me agaaain! Comrade kipepe mzee wa nyika, KING OF THE JUNGLE! Leo teeeena nipo mitamboni hapa jf kwenye moja na mbili! Nateleeeeza kama nawinda swala
Hahaaha ebanaeeeee! Leo mzee mzima kipepe sijaenda kuwinda vitoweo nipo off nimepumzika home,nipo juu ya sofa kaliiii la mchina, pembeni nikiwa na glass ya maziwa ya nyati! Mbele ya upeo wa macho yangu naangalia tv flat screen inch 52, nacheki video kaliiiii ya Huyu mwana harmonize a.k.a mmakonde wa tandahimba!
Ebanaa jamaa anajua sana anaimba vizuri kuliko hata chai Jaba, nyimbo zinaeleweka yani ni full Ujumbe... Anakwambia NEVER! NEVER ! NEVAAAAAA GIVE UP!!
Ebana WCB inabebwa na huyu mwamba
Mwanafunzi anakuaga bora kuliko mwalimuoops... Uozo mtupu, how can Harmonize be better than the one who pumped up his career HahahaHa unafeli boss haiwezi kuwa hata kidogo
hiyo ni nadharia tete AKA DWARFISM TheoryMwanafunzi anakuaga bora kuliko mwalimu