BeiOrijino XK headphones. Beat nzuri iliyochujwa kiufanisi wa hali ya juu. Fm radio na highly magnified mic kuongelea. Long range of Bluetooth and so on. Serious buyer nichek DM. Napatikana Dar mkoani situmi so ni hivyo. View attachment 1101492View attachment 1101493View attachment 1101494
BEI gani bossOrijino XK headphones. Beat nzuri iliyochujwa kiufanisi wa hali ya juu. Fm radio na highly magnified mic kuongelea. Long range of Bluetooth and so on. Serious buyer nichek DM. Napatikana Dar mkoani situmi so ni hivyo. View attachment 1101492View attachment 1101493View attachment 1101494
Utadhani dj ata bure sichukui hayo madudeYani huo mzigo wote niuweke kichwani mwangu.
😂😂😂Mbona bei kubwa hivo?
3,500
Na wewe kuvaa Head phone msibani ni Ushambaa usiolekezekaa... Au msiba ulikuwa usukumaniiiHizi head phone hapana aisee nili jaribu mara moja ni balaa zina gonga mziki sijawai onaa. Yaani kama ukitaka kukaa kimyaa usionge na mtu vaa kama hutaki kelele..
Nilivaa kwenye msibaa bwana wewe watu walinichukia maana wanaita wapi wanaongelesha wapii.
😂😂😂😂Hilo shuka mbona kama la Lodge fulani hapa Jijini
Tulikuwa kwenye gari safarini. Mda ambao kila mtu ana mambo yake. Sasa kuna wale wazee wanapenda kusumbua watu wanajifanya wanakuonyesha historia ya maeneo.Na wewe kuvaa Head phone msibani ni Ushambaa usiolekezekaa... Au msiba ulikuwa usukumaniii
Aaha kumbe safarini kuelekea msibani sawa...Tulikuwa kwenye gari safarini. Mda ambao kila mtu ana mambo yake. Sasa kuna wale wazee wanapenda kusumbua watu wanajifanya wanakuonyesha historia ya maeneo.