Kuna jamaa alioa singo maza halafu amelelewa na mama tu, anajuta kila siku, kidogo kafungasha karudi kwao na mama mtu anampokea fresh tu tena bila hata ya kutaka kujua kumetokea nini, na anaweza kukaa kwao hata miezi 3 mpaka afuatwe ndo arudi lakini michezo yake ndio hiyo.
hawa watu ni shida japo sio wote, wenye uzoefu wanaweza kulitolea ushuhuda, yalinikuta, mwanzoni unaweza kujilaumu kwa nini ulichelewa kumfahamu kumbe anakuingiza kingi anyway siamini kama wote wako hivyo
Haya mapito usimuliwe tu, kwa waliopitia mziki wake wanaujua vizuri, hutakaa usahau maisha yako yote, sikumbuki hata niliyapitaje pitaje, ila hapana!! thanks God, niwape pole wale wote waliopita humo.
Kwa upande wangu halotel walikuwa ndo chaguo langu la kwanza kwa makampuni yanayotoa huduma ya internet na kiukweli by then nilifurahia huduma zao lakini kwa zaidi ya wiki mbili sasa sitaki kuona hata mabango yao barabarani,kila dk inadisconnect,spidi yenyewe ni matatizo balaa nimeamua kuachana...
Tena ni afadhali uwe ndo mzigo wako kidogo unaweza ukavumilia,wengine hata majirani watamtambua,japo ilikuwa hainihusu ..nakumbuka kapafyumu kangu nilipigwa maruduku na sabuni niliyokuwa natumia nikaambiwa nisithubutu kuitumia daah..ilikuwa ni shida, Mungu awabariki tu jamani kwa hayo mapito
hili tamko la mh waziri mkuu lina walakini kwa sababu halina ukomo na pili kama ishu ni kushukuru tu tatizo liko wapi? nafikiri angetoa maagizo kwa wahusika kwamba yoyote atakayetoa maneno ya uchochezi ndo wachukliwe hatua kali za kisheria
nafikiri ni suala ambalo linamgusa hata mh.raisi pia,na linahitaji umakini wa hali ya juu kulimaliza ili kulinda heshima na kuaminika kwa yale anayoyasimamia na pia kumpunguzia pressure dr tulia mjengoni
ningependa kuona pia anarudisha nyumba za serikali zilizouzwa ili kuokoa mamilioni ya pesa ambayo serekali inatumia kuwalipia watumishi wake gharama za kukodisha nyumba za kuishi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.