Russia Warship has entered the Eastern Mediterranean

Russia Warship has entered the Eastern Mediterranean

Mwenye Enzi Mungu ingilia kati katika vita hii hao wanao angamiza wenzao nenda kawaangamize kwa zaburi ya 109 na 35 milele yote katika jina la Yahushua ha Mashaich...Amen Ra , Amka Mama Universe tunakuomba utetee dunia yetu na uumbaji wote kwa ujumla milele yote.
 
Kumbe ni meli ya kivita? I thought za! Putin mjinga.
 
action yeyote atakayochukua russia haitasaidia chochote. zaidi sana Russia ni mnafiki. kama syria ni rafiki yao walitakiwa kuwalinda kabla jiji lile nililolipenda, jiji lililokuwepo tangu enzi za mtume paulo, halijasambaratishwa. sasaivi lile jiji na majengo yake mazuri ya kizamani yamebaki magofu tu...kuna faida gani kuwa rais kwenye nchi kama hiyo, kuna faida gani kujifanya rafiki unawatetea wakiwa wameshakufa wakati wakiwa hai ulikuwa umejifungia chumbani na kujifanya unafanya mikutano na wabaya wake? unafiki tu kama wa bashite tu.
Huwezi kujua unachokiongea .Syria ipo vitani ni mwaka wa 7 huu unaenda kama is ingekuwa urusi siku nyingi sana marekani angekwisha mtoa Assad pale na kuweka utawala wake.
 
Urusi hana vitu,vyombo vyake vingi vilitengenezwa kabla ya haijavunjia.kwa sasa hana vyombo basi tu ni putin ana amini anaweza zuia vita hii sababu syria ni njia mija wapo wa kuelekea mwisho wa dunia.

Acha Ndoto kijana nenda kakojoe ulale. Unajua unachozungumza au umekunywa viroba vikubwa baada ya zile ndogo kupigwa marufuku! This is big game unakuwa kama wenzio wanapambana na sachets za pombe kali wakati mizinga inauzwa uharamu uko wapi? Wazoefu ni kuchangisha pesa na kununua mzinga wa 250 mls za konyagi na ulevi kama kawa. Hakuna mshindi kwa hiyo msishabikie vita nyambafu!
 
Dunia nzima kwa mujibu wa nani?
Fuatilia World's reaction baada ya US kupiga Syria. Angalia nchi kubwa zimesemaje zikiwemo German, UK,Australia, Turkey, France nk. Zote zinaunga mkono Trump
 
Maandiko matukufu hayo.
Maandiko matakatifu ni kwa ajili yako wewe unaeamini na wenzako.si kila mtu anaamini wale mashoga na wauaji wa Israel wameteuliwa na Mungu.
 
Dah, nadhani wote waliomchagua Trump wakidhani ataachana na hii vita watakua disappointed sana
Walisema Ni puppet wa Putin. Sasa Ngoja tuone puppet na puppeter wanavyopepetana.
 
Mwenye Enzi Mungu ingilia kati katika vita hii hao wanao angamiza wenzao nenda kawaangamize kwa zaburi ya 109 na 35 milele yote katika jina la Yahushua ha Mashaich...Amen Ra , Amka Mama Universe tunakuomba utetee dunia yetu na uumbaji wote kwa ujumla milele yote.
Naam! Katika uzao wa Yuda jamii ya binadamu itabarikiwa.
 
Huwezi kujua unachokiongea .Syria ipo vitani ni mwaka wa 7 huu unaenda kama is ingekuwa urusi siku nyingi sana marekani angekwisha mtoa Assad pale na kuweka utawala wake.
hii vita naona wewe umeifuatilia sio muda mrefu. mimi tangu siku ile watu wanaandamana hadi vita inaanza, hadi waasi kupoikea silana uwa naifuatilia syeria. pia huwa nafuatilia sana actions za urusi dhidi ya hilo. walitakiwa palepale mwanzoni kabisaaa wachukue hatua kuilinda syria. binafsi naumia kwanini imebaki magofu vile halafu mnafiki mmmoja anakuja ati anaitetea? anaitetea syria au anamtetea mtu binafsi assad?

jaribu kufikiri, mchezo kama ule ungetokea dhidi ya israel, marekani ingeingilia kijeshi ndani ya wiki moja na hakuna hata jiji moja la israel lingesambaratishwa. lakini hivi tunavyoongea, syria ni magofu kabisa, imeharibiwa kiuchumi, hata akirudi madarakani assad anamuongoza nani? amerudishwa nyumba zaidi ya miaka 2000. ujenzi tu wa nyumba, wananchi wake ambao ndio human resource wamekimbilia nje/ulaya karibia wote walio bako hao wamejitoa mhanga tu na wanaishi kwa misaada hawafanyi kazi yeyote. syria kwasasa hakuna tofauti sana na somalia...kwasababu hata shughuli za kiuchumi maeneo mengine zimeshikiliwa na waasi. kwanini russia kama wanafikiri wao ni marafiki wa syria wasingezuia hili mapema? ni wanafiki tu.
 
Trump "hajaribiwi, anajiamini na hashauriki". Russia wasidhani hako ka mkwara ka kupeleka warship katamtia woga Trump. Infact wameharibu kabisaa. Vita kamili sasa inanukia na watakuja kuumia raia masikini wasio na hatia huko Syria
 
Maandiko matakatifu ni kwa ajili yako wewe unaeamini na wenzako.si kila mtu anaamini wale mashoga na wauaji wa Israel wameteuliwa na Mungu.
Ha ha ha. Mashoga wana yao hayanihusu.
 
action yeyote atakayochukua russia haitasaidia chochote. zaidi sana Russia ni mnafiki. kama syria ni rafiki yao walitakiwa kuwalinda kabla jiji lile nililolipenda, jiji lililokuwepo tangu enzi za mtume paulo, halijasambaratishwa. sasaivi lile jiji na majengo yake mazuri ya kizamani yamebaki magofu tu...kuna faida gani kuwa rais kwenye nchi kama hiyo, kuna faida gani kujifanya rafiki unawatetea wakiwa wameshakufa wakati wakiwa hai ulikuwa umejifungia chumbani na kujifanya unafanya mikutano na wabaya wake? unafiki tu kama wa bashite tu.
Iko hv, usikute Assad mgumu ku signe mikataba ya kusaidiwa na urusi , anasubr apigwe ndo aweke sahh ya fidia
 
Trump "hajaribiwi, anajiamini na hashauriki". Russia wasidhani hako ka mkwara ka kupeleka warship katamtia woga Trump. Infact wameharibu kabisaa. Vita kamili sasa inanukia na watakuja kuumia raia masikini wasio na hatia huko Syria
Trump ni mpango mzima.
 
na kwa hili sidhani kama uhusiano wa usa na urusi utakuja kutengemaa tena kama walivyojinasibu wakati trump anaingia ikulu
 
Baada ya Trump kushindwa kuleta machafuko Marekani kama ilivyokuwa imepangwa na Illuminati kwa kutumia Presidential Decrees zake za kijinga chokozi,sasa anajaribu kete nyingine kama pia ilivyopangwa na Illuminati.And that is, confrontation with Russia,ili hatimaye kuleta vita ya Armageddon.Kama atafanikiwa kwa sasa sijui,lets wait and see.Tusisahau kwamba Trump ni senior member of the Illuminati.
Huyu anayetoa decrees huku kwetu hayumo huko illuminat?
 
Back
Top Bottom