Recent content by Konksenior

  1. K

    Tambua Kuwa Mwanamke Anapenda Umpe Hisia Tofauti Tofauti.

    Hakuna formula tusidanganyane bhana
  2. K

    Nimepata mke mtarajiwa ila nashindwa.......

    Anza kumtumia meseji usiku mida ya nne au saa tano,mtumie maneno "nakupenda Sana ( mtaje jina) , nahitaji kuwa na wewe maishani kama wapenzi halafu unatulia kimya ukisubili jibu lake ,akijibu hapo ndo muendelezo wa mtongozo msifie Sana ,lalamika sana kuwa wewe huweziishi bila wewe . Mwanzo ni...
  3. K

    Shamrashamra za Valentine zinakera!

    Mumy nataka kuwa valentine wako
  4. K

    Wakuu mbona wanawake wako hivi

    :D:D:D:D:D:D:D:p
  5. K

    Wakuu mbona wanawake wako hivi

    sasa kwann akubali hela zangu halafu hanitafti
  6. K

    Wakuu mbona wanawake wako hivi

    Habarini wakuu, Nimepitia mahusiano mengi na wanawake, hivi kwanini wanawake wengi ukiwatafuta hawakutafuti ila akiwa na shida tu. Ila akiwa hana shida na wewe ndo hakutafiti kabisa. Hivi hawa viumbe huwa wanataka nini. Huwa siwasomi kabisa hawa watu jamani.
  7. K

    Nampenda lakini nahofia atanichukuliaje?

    Msifie akija ,kwamba kapendeza au mzuri sana baada ya hapo mwambie kiutaratibu naweza kupata namba yako ,ukichukua namba msalimie na kumtakia Asubuhi,mchana na jioni njema,kisha akisha kuzoea omba mtoke out umueleze ya moyoni
  8. K

    Hivi style gani ya mavazi wanawake mnavutiwa nayo kwa wanaume

    Habari wakuu, hivi wanawake mnavutiwa na aina gani ya mavazi kwa wanaume ,tiririkeni wakuu
  9. K

    kila mwanamke ninae muomba mtoko anazingua

    Asante sana bulaya kwa ushauri wako mzuri nitaufanyia kazi
  10. K

    kila mwanamke ninae muomba mtoko anazingua

    sijawahi mwambia kwasababu nimeshindwa kuonananae uso kwa uso
Back
Top Bottom