Anza kumtumia meseji usiku mida ya nne au saa tano,mtumie maneno "nakupenda Sana ( mtaje jina) , nahitaji kuwa na wewe maishani kama wapenzi halafu unatulia kimya ukisubili jibu lake ,akijibu hapo ndo muendelezo wa mtongozo msifie Sana ,lalamika sana kuwa wewe huweziishi bila wewe .
Mwanzo ni...
Habarini wakuu,
Nimepitia mahusiano mengi na wanawake, hivi kwanini wanawake wengi ukiwatafuta hawakutafuti ila akiwa na shida tu. Ila akiwa hana shida na wewe ndo hakutafiti kabisa.
Hivi hawa viumbe huwa wanataka nini. Huwa siwasomi kabisa hawa watu jamani.
Msifie akija ,kwamba kapendeza au mzuri sana baada ya hapo mwambie kiutaratibu naweza kupata namba yako ,ukichukua namba msalimie na kumtakia Asubuhi,mchana na jioni njema,kisha akisha kuzoea omba mtoke out umueleze ya moyoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.