mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,162
- 22,611
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo hapo kaka, 6B6921169NH.. Kupiga tu sms hapendi kuandika sanaNaomba namba yake nikulegezee
ntafanya hivyo, kama plan hiyo itafauru.. nitareta hapa mrejeshoUrafik sio lazma umwombe namba Mkuu jenga mazoea hata kukupa namba iww rahis kwake
Sawa mkuu ila ukienda jitahd kwenye l usiweke r unaweza ukakosa kila kitu
kesho naanza process mara moja.. nitajitupa kama shilingi bahalini..Mkuu amini nakuambia wanawake wanapenda kutongozwa sababu ndio kipimo cha thamani yao, wasipotongozwa wanaenda hadi kwa waganga, akiwa mgumu usimlazimishe ili urafiki wenu uendelee.
"Huwezi kujua kama inawezekana mpaka utakapojaribu" acha uoga
yaani anajielewa huyo, kama mdada flani hivi anajiita kidoti..!!Mkuu usiogope we sema nae tu usikute na yeye anakupenda anashindwa kukwambia
Usisite kuleta mrejeshokesho naanza process mara moja.. nitajitupa kama shilingi bahalini..
Sent using Jamii Forums mobile app
We vipiii kujielewa ndio nn ebu jiamini kama mwanaume
kuna tofauti sana kaka, kati ya dem unaempenda na yule usiyempenda.. hv huoni kuwa mtu unaempenda sana hata ukishamuona tu mapigo ya moyo yana badili direction!!!? ila kwa usiyempenda yaani unajiachia domo kubwabwaja kama bata ndani ya maji..!!Waseminary mna nn lakini??
yani kumwambia tu dem unampenda
unaona ajaabu!!
Perfect, yaani hapo sawa, ndio maana nikaja kuomba ushauri hapaVema, umefikiri kabla ya kutenda. Hapo kuna mawili, kumpoteza mteja ambaye umekiri ana mchango mkubwa, au kuwa nae mkasonga mbele. Ila kwa kuwa ni mteja wako tayari, tumia hiyo frusa... Mfanye awe huru ajapo kwako, umfahamu nae akufahamu, (nadhani unaelewa nachomaanisha) hapa papara ni marufuku! Kwani unaweza kumfukuza mteja/wateja wako wewe mwenyewe.
daah, nitajitahidi.. Asante kwa kujaliSawa mkuu ila ukienda jitahd kwenye l usiweke r unaweza ukakosa kila kitu
Poa Mkuu
Fantastic, hapo sawa sasa!!!Msifie akija ,kwamba kapendeza au mzuri sana baada ya hapo mwambie kiutaratibu naweza kupata namba yako ,ukichukua namba msalimie na kumtakia Asubuhi,mchana na jioni njema,kisha akisha kuzoea omba mtoke out umueleze ya moyoni