Nimepata mke mtarajiwa ila nashindwa.......

Nimepata mke mtarajiwa ila nashindwa.......

Anza kumtumia meseji usiku mida ya nne au saa tano,mtumie maneno "nakupenda Sana ( mtaje jina) , nahitaji kuwa na wewe maishani kama wapenzi halafu unatulia kimya ukisubili jibu lake ,akijibu hapo ndo muendelezo wa mtongozo msifie Sana ,lalamika sana kuwa wewe huweziishi bila wewe .

Mwanzo ni mdumu ila jikaze hata saiz mtumie meseji halafu utupe mrejesho
 
Anza kumtumia meseji usiku mida ya nne au saa tano,mtumie maneno "nakupenda Sana ( mtaje jina) , nahitaji kuwa na wewe maishani kama wapenzi halafu unatulia kimya ukisubili jibu lake ,akijibu hapo ndo muendelezo wa mtongozo msifie Sana ,lalamika sana kuwa wewe huweziishi bila wewe .

Mwanzo ni mdumu ila jikaze hata saiz mtumie meseji halafu utupe mrejesho
Ngoja nifanye hivyo mkuu.
 
Anza kumtumia meseji usiku mida ya nne au saa tano,mtumie maneno "nakupenda Sana ( mtaje jina) , nahitaji kuwa na wewe maishani kama wapenzi halafu unatulia kimya ukisubili jibu lake ,akijibu hapo ndo muendelezo wa mtongozo msifie Sana ,lalamika sana kuwa wewe huweziishi bila wewe .

Mwanzo ni mdumu ila jikaze hata saiz mtumie meseji halafu utupe mrejesho
Atakufa kwa presha meseji isipojibiwa, kusubiria majibu ya namna hiyo ni magumu sana
 
Wakubwa zangu nawasalimu Sana,

Nimepata namba za huyu Binti ambaye anafanya Moyo wangu uwake moto na kukukuruka naombeni msaada wenu nawezaje Anza mawasiliano na yeye ili na Mimi nifaidi mema ya nchi.

Mimi ni Domozegee.
Moyo kurukaruka haimaanishi ndio mke mtarajiwa. Unaweza mtongoza na akakubali ila mkiwa kwenye mahusiqno ndio ukajua kuwa sio.

Tuliza nyege
 
Wakubwa zangu nawasalimu Sana,

Nimepata namba za huyu Binti ambaye anafanya Moyo wangu uwake moto na kukukuruka naombeni msaada wenu nawezaje Anza mawasiliano na yeye ili na Mimi nifaidi mema ya nchi.

Mimi ni Domozegee.

Sema nae, Usione soo kuhusu kusubili au kutumia Ndom mkuu
 
Duh!!tuma namba zake Pm yangu nimjulishe kuwa unampenda saana
 
Tafuta pesa fungua miradi angalau hata gia ya kupiga sound utapata...
 
Una uhakika kila mwanamke ni msaidizi au mshauri mzuri?
Sawa and there you go, una uhakika mema ya mwanamke ni mbususu pekee? Kama unaamini kuna hao wanawake wachache wanaweza kuwa washauri wazuri basi nadhani usiseme kwamba ni mbususu pekee, na huenda huyo mleta uzi akampata huyo mwenye more than just a mbususu.
 
Back
Top Bottom