Inategemea na mkataba mliandikiana kama utakuwa una renew miezi miwili kabla atakuwa yupo sahihi ila kama itakuwa ni mwezi kabla hayupo sahihi na unatakiwa umuonyeshe mkataba na umwambie unauheshimu mkataba wenu
Kila biashara inawateja wake siyo kwamba wanaume woooote huwenda kununua hao makahaba, Ushahidi nilionao wanunua makahaba wengi ni vijana wanaofanya biashara kutembezaa, kazi za vibarua nakadhalika
Nakubaliana na hili aisee mtoto wa dadaangu alimaliza darasa la saba akiwa na mimba kubwa sana kiasi kwamba matokeo yanatoka na yeye amejifungua, kwasababu zamani waliozaa walikuwa wanarudi shule alibahatika kuendelea na masomo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.