Tatizo sio fimbo tatizo ni fimbo kupita kiasi hasa mkishakuwa na stress za kutibuliwa na waume zenu asubuhi asubuhi hasira zote mnatka mzimalize kwa watoto hii sio sawa!!!
jamal mwambeleko alikuwa mbao anacheza kikosi cha kwanza now kahamia simba anapigwa benchi mwanzo mwisho!! vp na yeye sifa na ushauri wa ajabu vimemponza??........tatizo lenu nyie mashabiki wa simba na yanga mnaona timu zenu km timu za malaika mchezaji hatakiwi kuhama hta km amepata dau nono...
hyo ni nature ya binadamu yoyote kutafuta malisho bora zaidi kuliko sehemu aliyopo, singano alifanya uamuzi sahihi kuondoka simba coz walimuahidi kumfanyia vitu vingi lkn hawakuvifanya sasa ulitka afanyaje? aendelee kuvumilia ujinga ...now yupo azam analipwa vizuri tu izo changamoto za kukaa...
jibu hpo ni katiba mpya ndyo inabeba hyo mengine uliyoyataja na kikubwa zaidi ni kuwa na katiba inayomuongoza rais na sio katiba inayoongozwa na rais.....all in all katiba mpya inahitajika na umuhimu unazidi kuongezeka siku hadi siku
kwanini unazungumzia dhamira njema ya wananchi na huzungumzii dhamira njema ya serikali? naona uko too much emotional hta hatari iliyoko mbele yetu huioni!.Mi ntakupa mfano hai wa hii katiba itakavyotugharimu huko mbele....Tume ya uchaguzi haipo huru inafanya kazi kwa maelekezo, kwa hyo...
chief kuna mahusiano makubwa kati ya katiba bora na maendeleo!. Marekani ndyo taifa tajiri duniani lkn ukiangalia siri ya mafanikio yao, utagundua ubora wa katiba yao umechangia pakubwa . katiba inayosisitiza nchi kwanza hlf maslahi ya mtu mmoja mmoja ndyo yanafuata sio huku bongo rais kapewa...
nadhani pia tuangalie na suala la walimu kwa mfano pale azam wana academy nzuri tu lkn angalia product zao wachezaji wakishafuzu kutoka hpo kwenye academy yao unakuta bdo ana mapungufu kbao hebu mwangalie mchezaji km yahya zaid hyu kakulia kwenye academy ya azam na alikuwa top player kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.