kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,224
- 1,686
Kiongozi huyo wa zamani wa ana nyumba kadhaa za kifahari nje ya Zimbabwe, na alikodisha nyumba kwa gharama ya dola 500,000 (laki tano) za Marekani kwa mwaka kwa ajili ya kijana wake Robert Mugabe Jr aliyekuwa akisoma nchini Dubai. Na alimkodishia nyumba ya mamilioni binti yake aliyekuwa masomoni Hong Kong.
Chanzo: MWANANCHI
Chanzo: MWANANCHI