Recent content by kombolea

  1. kombolea

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    UDOM 2011/2012 First college education alikuja demu rafk kunisalimia tukaliga story adi sa tatu anataka kuondoka kwenda block kwao ...jamaa mmoja tunaishi nae akamwambia Baki ulale usiku huu unaenda wapi jamaa akatupisha kitandan yeye akasema Mimi ntalala kitandan Cha juu dekani nyie laleni apo...
  2. kombolea

    Kuna aina za gari haipendezi kumilikiwa na mwanaume

    Gari ni gari tu mzee kama lipo ndani ya bajeti yako Pikipik noo
  3. kombolea

    Ukitaka kujua ubovu wa serikali ya awamu ya sita, Yakupate haya utajuta kuzaliwa Tanzania.

    Umenene kweli kabisa ..Mimi nimelipia kuunganishiwa maji miez mitatu saiv wanasema hawana vifaa na ela nimelipa kwa control no..hapa KOROGWE MJI..nawaza kumtafuta wazir wa maji Juma aweso labda anaweza nisaidia nikapata maji
  4. kombolea

    Nikiweka fixed deposit 10M naweza kulipwa kiasi gani na bank kila mwezi?

    Hizo ni hesabu tu ila ingiza ela uone zinavyo kataa
  5. kombolea

    Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

    Azam wameifuta adi Upendo tv .. channel nying za kikristo zinakata kata naona wanazihujumu
  6. kombolea

    Wafanyakazi wa hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma wapewe maua yao

    Kuna Magunga hospital ya mji wa KOROGWE ni hatari Sana kwanza vipimo hamna huduma ni mbovu wahudumu wapo busy na Mambo Yao..hata kipimo Cha wingi wa damu hakuna ...mkuu wa wilaya joketi tunaomba upite hapo
  7. kombolea

    Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

    Nwamposa amesaidia Sana watu kufahamu habari za uzima na habari za Yesu na watu wameamini kupitia mahubir yake ...ni mmiongoni mwa wamisionari wa Karne hii
  8. kombolea

    Changamoto mbalimbali kwa watumishi wanaohama vituo vya kazi na utatuzi wake

    Habari mkuu ...mi pia ninachangamoto Kama uliyokua nayo ya mshaara.. tamisemi unaenda ofisi gani na unabeba nn
  9. kombolea

    Nimeikuta sehemu kuhusu Wachaga! Wajuzi wa haya mambo watusaidie!

    Ukienda Rombo Kama una nguvu zako utawafaid Sana wadada na wamama wa kirombo hawakataagi mzee nimekaa useri mashima tarakea watoto ni kujibebea tu
  10. kombolea

    Wananchi mkoani Arusha waandamana kupinga Ushoga

    Anaitwa Jonas Kama sikosei
  11. kombolea

    Majibu ya Dkt. William baada ya Azam kukanusha juisi zao za Azam Embe hazina sumu

    Yanasagwa kwl ila badae wanayachemcha kuzalisha kitu Kama siagi ndo inachangwa na hizo chemical kutoa juice
  12. kombolea

    DAR Performance ya shule nyingi ni Mbovu kupindukia

    Mfano wa hizi shule Uhamiaji Diplomasia Taifaa Temeke
  13. kombolea

    Polisi chunguzeni ukweli kuhusu tukio la watoto watatu wa familia moja kufa kwa kuungua moto Rombo, Kilimanjaro

    Safaricom netwk inasumbua kwl ukiwa ndan uwez ongea Kuna sehemu netwk inapatkna ndo wengi hukusanyika kuongea
  14. kombolea

    Benki ya CRDB na huduma mbovu za utoaji wa mikopo

    CRDB Kwisha habar Yao hata hiyo 13%ni uongo mtupu wamepandisha pro fee 1% to 2% na kiwango Cha bima
Back
Top Bottom