Hao wasomali kwa sasa ndio wameshika uchumi wa Kenya kwa asilimia kubwa sana, sasa nchi yenyewe suala la Rushwa kama unavyojua viongozi wetu hawa sidhani kama kuna uwezekano wakaliepuka hili.
Nairobi imeshikwa haswaaa na wasomali kwa sasa ata Mombasa pia ni hivyo hivyo
Hao wasomali kwa sasa ndio wameshika uchumi wa Kenya kwa asilimia kubwa sana, sasa nchi yenyewe suala la Rushwa kama unavyojua viongozi wetu hawa sidhani kama kuna uwezekano wakaliepuka hili.
Nairobi imeshikwa haswaaa na wasomali kwa sasa ata Mombasa pia ni hivyo hivyo
Watu wanvyosemaga humu single mothers kama mzazi mwenzie yupo hai jua tuu kuna siku kiporo kitapashwa sio uongo.
Mimi nina mwenza tulitengana miaka 10 iliyopita na kipindi tumeachana tayari alikuwa ameshazaa na mimi sasa, mbwembwe alizokuwa akinifanyia mie nilikaa kimya zaidi ya matumizi ya...
Mtuache na kimara yetu, kipindi wenzenu wanafanya utafiti wa kujenga BRT hamkuwepo muwashauri haya mnayoyasema leo?
Hamjui kwamba bomoabomoa imeleta athari kubwa maeneo hayo mpaka kibaha?
Hapo Kenya (Mombasa) kuna daraja kubwa zaidi ya hilo la kigamboni na ni free kwa vyombo vyote vya moto.
Sasa sisi ilipaswa itazamwe namna ya kufanya kuhusu huo uwekezaji wa NSSF unawekwa namna gani kuendelea kutoza miaka yote hiyo ni namna gani inavyoonesha mawazo yetu bado ni mgando kiasi gani.
Duuh kumbe hii habari ilipostiwa humu tokea jun 2 na inakaribia miezi miwili haikujadiliwa humu😳
Hakika tunatakiwa kujitafakari kwenye habari kama hizi za kujiandaa na haya majanga maana kila mwaka unaokuwa na 7 hizi mvua huwa zinajitokeza kumbukumbu yangu kubwa ambayo haijanitoka ya mvua hizi...
Aisee nilikuwa natazama video inayohusu hao askari kuua yule raia wa Nigeria iliyotembea mitandaoni ndio unapata picha jinsi nchi hiyo ilivyo, polisi kiasili nchi nyingi tabia vinafanana ila kwa huko SA hapana kwa kweli 🙌.
Binafsi siamini kama kweli hii familia itakuwa ipo South Africa mpaka sasa, suala la usalama kwa hiyo nchi hapana kwa kweli hakuna mtu makini ataamua kuweka family nchi ile, labda wawe wanaishi ubalozini na wawe walibadilisha majina.
Sijawai kufika south ila kwa matukio ninayoyaona mitandaoni...
Naona wengi mnakomenti kuhusu mbao tuu, video inasema na wavuvi wa samaki pia huuawa, au wengi mliokomenti hapa ndio wauaji wa hao wananchi?
Na je ni kweli hatua zakuchukiliwa ni hizo za kuua hao wananchi?
Ngoja nichukue likizo nikapige kambi my home gomelo hapo nitapata ukweli juu ya haya...
Kwa hiyo sasa tumsaidie aje kuajiriwa kwenye kazi ya salary kima cha chini laki 3 ili ajue maisha halisi ya wanaowaongoza yakoje?
Hawa watu hawana adabu kabisa na hizo kauli zao wanaropoka tuu utadhani watu wote hatunazo
Nawashangaa sana hawa watu wa mitandao na baadhi ya member wanaosuport huo utaratibu.
Mimi ni muhanga wa hili jambo line yangu ya tokea enzi za mobitel niliyokuwanaitumia kwa takribani miaka 23 imefungiwa na siwezi kuipata kwa sasa.
Sababu nilikuwa nje ya nchi kwa mwaka mmoja sasa hapa kosa...
Cha kuongeza hapo watu wafahamu, inaposhushwa bendera ya rais ndio rasmi madaraka yake yamekomea hapo na inaponyanyuliwa bendera nyingine ya raisi ndio rais mteule anakuwa rasmi kimadaraka.
Siwezi mkuu huko google ndio wapi kwani?
Ila kwa wale wa mambo ya upande wa pili wa dunia huwa wanasema michuano hii huwa ni kuoneshana "ubabe" wa nguvu za giza nikikumbuka nukuu mbali mbali za marehemu sheikh Yahya Hussein kwenye kipindi chake cha chanel ten
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.