Cha kuongeza hapo watu wafahamu, inaposhushwa bendera ya rais ndio rasmi madaraka yake yamekomea hapo na inaponyanyuliwa bendera nyingine ya raisi ndio rais mteule anakuwa rasmi kimadaraka.
Siwezi mkuu huko google ndio wapi kwani?
Ila kwa wale wa mambo ya upande wa pili wa dunia huwa wanasema michuano hii huwa ni kuoneshana "ubabe" wa nguvu za giza nikikumbuka nukuu mbali mbali za marehemu sheikh Yahya Hussein kwenye kipindi chake cha chanel ten
Dogo leseni kurenew ni mara yako ya tatu kwa kutumia miaka mingapi?
3x3=9 na na kama kwa sasa ni kila baada ya miaka 5.tukirudi miaka yako hailingani kabisa na uhalisia 23-9=14 na sheria ya leseni mtoto wa miaka 14 hana sifa ya kuwa na leseni.
Sasa huo uzoefu wa kuendesha gari kabla ya leseni...
Hii ya udereva ulipata leseni k
ukiwa na miaka16?
Na uzoefu unao wa miaka 7.
Degree umepata lini, secondary lini umehitimu?
Gari ulikuwa unaendesha wakati wa kwenda shule?
Kuna mengi ya kujifunza kutoka kwako kwa mujibu wa umri wako wa miaka 23.
Hawa wapo muda mrefu tuu na kuna wapuuzi walikuwa wakiniunga kwenye magroup yao whatsaap kila nikitoka nakuta wameniunga.
Brela waache kuonesha usajili wa kampuni bila kuonesha kazi husika ya hiyo kampuni, hapo halmashauri wamepigwa changa na wameandika ushauri wa kibiashara, hii inaonesha...
Duuh watu wa Katoro mmetisha sana, hapo ni huenda gesi imepungua katika kipindi cha usafirishaji na suala ka kupiga shoti hilo ni tatizo la kukosa earth haipo sawa sawa kuna ulazima wa kuangaliwa mfumo huo kwenye hiyo nyumba.
Watafute mafundi waje wakuangalizie gesi au kama ina warranty...
Thread closed
Cha kuongezea pia tazama mwenendo wa Mama yake kama yupo hai ujue aliishi vipi na Baba wa mkeo, akina Mama ndio role model wa wanawake walio wengi kwenye ndoa zao wanaiga mifumo ya zao hivyo kama ukiona mama mtu alikuwa mzinguaji kwa baba mkwe wako basi tegemea na mtoto kuiga hizo...
Mayu ni mjomba kwa kinyiramba huyo jamaa ndio namwabia kaa hana asili ni magari aendelee kulima alizeti na vitunguu, biashara ya nagari inataka uwe na uelewa kuaniza ndani ya familia sio unakurupuka tuu utapata hizo shida za presha.
Sasa wewe mayu na magari wapi na wapi ndugu, wewe lima alizeti tuu ndio kitu unakiweza.
Wengine hizi ni vitu tumezaliwa ndio biashara zetu, muulize huyo Nchemba kama anawajua kina Al watan atakwambia.
Cha ajabu zaidi huyo mtu hajulikani ni nani.
JF yetu hii code huwa zinawekwa wazi tuu mtu anajulikana, hili linanipa mashaka sana juu ya hii habari ya Malisa, atajishushia heshima kwa jamii yenye uelewa mkubwa wa mambo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.