Magufuli hafai kuwa kiongozi wa nchi hii atuhitaji mtu atakaye mlinda jakaya na ilani chama cha mapinduzi kwani toka nchi hii imepata Uhuru kumeshakwepo na ilani ngapi ambayo imeshindwa kutatua Matatizo ya wananchi?
Huyu dada anayelipwa kwa kodi za wananchi bado amekaa ameridhika kukaa ofisini huku akipotosha umma kwa kutoa taarifa pungufu wewe unafikiri wananchi walioko vijijini hawaelewi mambo yanaendelea wakati wa mabadiliko ya kisiasa hii ndiyo sababu huwa siangalii TBC 1
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.