Yeye na zzk walijiona kama miungu watu,CHADEMA sio chama cha mtu bali ni taasisi. Mmoja akiondoka,wengine wanashika usukani.
Watu wanakuwa vipovu kwenye siasa ukipata nafasi usiichezee ukifanya mchezo utasahalika na na ukisahalika siasa haitakukumbuka tena ndicho kilicho wapata Lamwai Kaburuo Tambwe Hiza na wengine