Sawa wanatupa misaada na inatusaidia lakini hawana mamlaka ya kutuamulia kiasi cha kutamani sisi tuwe tena watumwa wao.
Ifike wakati tuwe na mipaka, waende tu. Muda mwingine hujui nguvu yako mpaka wakati wa udhaifu.
Na waende tu ila wale wenye nia njem nasi, watakuja tu.
Iliwahi kunikuta na nikatibiwa na dk mwanadada, aliiona naniliu, after a while tukakutana kwa mkutano, guess wharrr....alinipa ushauri zaidi (private)....
Katika mazungumzo yenu mliongelea chochote kuhusu UKIMWI na VVU? Nadhani ndo kitu cha msingi mngeanza nacho kabla ya kuongelea hayo ya kuparamia minazi ya watu!
Azungumziaye aina, anajua zote. Tuwe na nidhamu ya kudadavua vitu kwa upana wake, Mbona wa ROMA K.K.K hatuulalamikii au kwa kuwa ana kila dalili ya kuwa vidole viwili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.