Emmadogo
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,126
- 3,751
Word!Matarajio yanaumiza wengi sana ,kwa kutaraji unachotoa basi upate kama kile au zaidi ya kile ,na ndomana wengi Unapopenda basi unataraji kupendwa kwa kiasi kile au na zaidi,Ndomana inapokuja kinyume chake wengi wanaumia,
We penda Tu,Ikitokea umependwa pia basi huyo ndo wako na ni bahati yako,
Hakuna duniani watu wanaopendana 100 kwa 100 respectively. Lazima mmoja anamzidi mwenzake...wahenga wa kizungu wanasemaga
"Who ever says i love you first then he is the one who loves more"