Recent content by kmayunga

  1. K

    Kampuni inayomiliki Tigo yabadili jina, sasa ni Honora Tanzania

    Watanganyikaaaaa tuna shida gani? Alafu hayo mabunge yatarudi yote. 25
  2. K

    Askofu wa kanisa la Ufunuo ashutumu viongozi wa Kanisa Katoliki kwa kuingilia masuala ya siasa

    Ndiyo shida ya hawa viongozi wa dini za kuunga unga, jadilini mkataka kama wenzenu. Si ajabu hata hajui mkataba unazungumzia nini na vipengele vyake.
  3. K

    Askofu wa kanisa la Ufunuo ashutumu viongozi wa Kanisa Katoliki kwa kuingilia masuala ya siasa

    Unatafuta kick, hamjitambui Itawachukua mda sana kujitambua, kaongezeni dawa za uchawi huko Afroca magharib
  4. K

    Wamiliki wengi wa majokofu/friji wanauelewa mdogo juu ya utendaji kazi wake

    Wabongo bhana, Mtoa mada amesema anatupa maarifa mepesi na uelewa wa kawaida kwa wanaotumia majokofu na viyoyozi ili tuelewe utendaji kazi wa hivyo vifaaa, pia mafundi wasitudanganye na kutuibiaa. Sasa ndugu yangu hayo mambo ya valvu sijui nini fungua uzi wa mpya kwa ajili ua mafundi
  5. K

    Ipi njia iliyothibitika ya kupata mtoto mwenye uwezo mkubwa kiakili “genius”?

    Ah ah ah ah Kucha kama punje za mahindi Sent using Jamii Forums mobile app
  6. K

    Let me adress the unadressable: Jesuits & mapadri

    Ungekuwa mpakwa mafuta na ungekuwa madhawabuni Sent using Jamii Forums mobile app
  7. K

    Naweza kuwa dereva wa Uber ilhali mimi ni binti?

    Huta kuwa wa kwanza kuendesha uber Nimeshapanda zaidi ya mara 3 , naendeshwa na mademu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. K

    Nimepima nina tatizo la nguvu za kiume

    Pata tiba ya moyo kama walivyogundua, jiamini jiamini jiamini Uko pouwa sanaaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. K

    Kwanini jeshi la Iran halikuweza kuziona ndege za Marekani zilizomuua Soleiman?

    Nimecheka sana mkuuuu Wakikushikaaaaa..... Sent using Jamii Forums mobile app
  10. K

    Haipingiki: Hii ndio Top 10 ya binadamu wanaochukiwa zaidi Tanzania kwa sasa

    Ah ah ah ah ahah ah Nimecheka sanaaa Wana jf mna manenoooo
  11. K

    A Tribute to my Friend Carol! Nitakukumbuka Daima

    Nimecheka mpk majiran wametoka njeee, wakati nilikuwa nimejaa uzuni.... Eti kupigia ccm kura
  12. K

    Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

    Acha biashara mchanaaa bro Kama ni hivyo vipimo na wataaaalam wote wanapatikanika MUHIMBILI kwa bei nafuuuu sanaaaaa
Back
Top Bottom