Recent content by Klauz

  1. K

    Squid Game English version?

    Uwe na U-torrent, then fungua hii link https://eztv.re Uta-search series yako hapo then download!! Au link hii https://pirate-bays.net/torrent-search Then tafuta series yako hapo utaona na maelezo mengine kuhusu language unayotaka Hii ni Eztv!! Hii ni pirates bay
  2. K

    Msaada; Nawezaje pata kwa kununua kitu (smartphone) nilichokiona Ebay na niko Tz?

    Nenda sheli ya Puma Energy Masaki karibu na ilipokuaga Maisha Club zamani, pale kuna Ofisi za Easy Buy!. I think wanadili vilevile na e bay na Online Shopping nyingine
  3. K

    Vyombo vya habari Tanzania vinatumika kuihujumu CCM?

    Lakini wanachoonesha ni cha uhakika! Kama unataka habari mbofu mbofu kaangalie TBC
  4. K

    Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

    Na wewe unakaribishwa!
  5. K

    Mkutano wa Baraza Kuu CHADEMA - Agosti 03, 2015

    Ndio kujiuzulu huko???
  6. K

    Edward Lowassa hatoruhisiwa kugombea Urais!

    Kiswahili chenyewe kibovu
  7. K

    CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

    Angebaki alaf ikawa amepitishwa CCM ungempigia kura???
  8. K

    Nilimtelekeza mke wangu, nimerudi nimekuta rafiki yangu kamuoa

    Duuh! Pole sana Mkuu! Nakutakia mafanikio katika kupigania haki ya wanao!
  9. K

    Kwanini bongo movies hawawezi kucheza muvi za action kama Jet Lee?

    Tatizo kubwa na uduni wa Teknolojia mkuu, hata hivo kwa ninavyojua movie za 'aksheni' (kama tunavyoziita) ni zinakua na gharama kubwa katika production zake, vilevile vifaa ambavyo watakua wanahitaji katika kutengeneza movie kama izo ni shida!! Nadhani huo ndo uelewa wanngu kidogo katika suala...
  10. K

    Battle: Kwa mara nyingine tena wale mahasimu wawili wa Bongofleva nchini wamekutana AFRIMMA Awards

    U go vote, wat mater most ni Ushindo uje Tanazania, i dont care nani atachukua btn them, ila uje Tanzania..
  11. K

    Said Arfi achukua fomu ya Ubunge kupitia CCM

    Kitu ambacho nimegundua ni kuwa wanasiasa wanataka power kwa namna yeyote ile, akiona upepo huku unaenda antiklokwise anatafuta njia aendane nao sawa,sasa ndo hapo unaona anahamia katika chama kingine ili aweze kumentain power yake!!..
  12. K

    Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CHADEMA nchini kote

    Na wale waarabu na wahindi wa sisiemu hata kiswahili ni shida kuzungumza inakuaje
  13. K

    Mtu akifa Roho yake huenda wapi?

    Mkuu kuzaliwa kama Mbwa, Paka au Panya ni adhabu au? Coz naona kuna mbwa wanaishi maisha mazuri wakiyofautiana na wengine, sasa hawa wanaoishi maisha mazuri wao pia ni adhabu kama walivyo waishio ya shida au vipi
  14. K

    Star TV, UKAWA wapo Millenium Tower Live

    Sidhani ka una mke atakaemvutia Padre
Back
Top Bottom