Uwe na U-torrent, then fungua hii link
https://eztv.re
Uta-search series yako hapo then download!!
Au link hii
https://pirate-bays.net/torrent-search
Then tafuta series yako hapo utaona na maelezo mengine kuhusu language unayotaka
Hii ni Eztv!!
Hii ni pirates bay
Nenda sheli ya Puma Energy Masaki karibu na ilipokuaga Maisha Club zamani, pale kuna Ofisi za Easy Buy!. I think wanadili vilevile na e bay na Online Shopping nyingine
Tatizo kubwa na uduni wa Teknolojia mkuu, hata hivo kwa ninavyojua movie za 'aksheni' (kama tunavyoziita) ni zinakua na gharama kubwa katika production zake, vilevile vifaa ambavyo watakua wanahitaji katika kutengeneza movie kama izo ni shida!! Nadhani huo ndo uelewa wanngu kidogo katika suala...
Kitu ambacho nimegundua ni kuwa wanasiasa wanataka power kwa namna yeyote ile, akiona upepo huku unaenda antiklokwise anatafuta njia aendane nao sawa,sasa ndo hapo unaona anahamia katika chama kingine ili aweze kumentain power yake!!..
Mkuu kuzaliwa kama Mbwa, Paka au Panya ni adhabu au? Coz naona kuna mbwa wanaishi maisha mazuri wakiyofautiana na wengine, sasa hawa wanaoishi maisha mazuri wao pia ni adhabu kama walivyo waishio ya shida au vipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.