Star TV, UKAWA wapo Millenium Tower Live

Star TV, UKAWA wapo Millenium Tower Live

Hivi proCCM, mnadhani propaganda za udini zitaua UKAWA kirahisi!??

Zilishajulikana hizo zamani. Tulieni iwaingie.
 
kwa namna ccm walivyopoint hilo lijamaa pombe .nashaur awekwe lipumba then vyama vyote viungane kumpigia kura ataleta ushindani
 
Na kuitia hasara serikali kwenye kesi ya samaka wa Magufuli. Wachina walishinda kesi na mahakama imetoa amri serikali iwalipe fidia.

we ndorooobo hilo tatizo la mahakama sio waziri magufuli!!!!! kwani magufuli ndo alikua akiendesha kes au aliwaambia wachelewesha hukumu? au unahisi alikosea kuwakamata wachina walipokua wanavuna maliasili iliopo tanzania? tumia kichwa kufikiri mkuu co makalio!
 
Mkuu wazo la kuungana nalikubali vizuri kabisa, ila hebu elezea hapa, kwa chaguzi zote walizoshiriki ni kuwa Dr Slaa alipata kura nyingi zaidi ya Prof Lipumba. Sasa ni kitu gani kinampa Lipumba added advantage juu ya Dr Slaa?

Shangaa naww, tangu prof lipumba kaanza kugombea hajawahi kushawishi watu km leo hii ambapo slaa amefanya, ss hizi hoja za kusema bora asimame lipumba na ikiwa tunajua fika mtu mwenye nguvu kisiasa ni slaa wala sielewi zinatokea wapi
 
kwa namna ccm walivyopoint hilo lijamaa pombe .nashaur awekwe lipumba then vyama vyote viungane kumpigia kura ataleta ushindani
Maana ni Lipumba tu aliyesoma huko Ukawa. Wengine wote ni darasa la saba dropouts
 
Habari za chini kwa chini zinaeleza UKAWA wapokatika wakati mgumu katika kumpata mgombe uraisi atakayepeperusha bendera yao.

Hii inatokana na nguvu na hali kubwa aliyonayo Mh Magufuli kutoka CCM .

Tetesi zilizoenea juu ya kushindwa kufika muafaka katika mchakato wa kupata Mwakilishi wa UKAWA hiyo tarehe 11 na kuahirisha hadi tarehe 14 July .

Hii n kuachia Lowasa avurugane kwanza na CCM kwani alishasema atafanya maamuzi magumu asipata fursa ndani ya CCM na kuna kila dalili UKAWA kumchukua kama mgombe uraisi kulipakisasi cha jina lake kuondolewa na NEC ya CCM .

Kiundani zaidi ilikuwa si sababu ya msingi kwa UKAWA kuahirisha mchakato hadi tarehe 14 kwa taarifa za kuugua kwa J Mbatia ( NCCR ).
 
Kuna tetesi kuwa Padri slaa kaiba mke mwingine

mbona husemi magufuli alivyomjaza mimba mwanafunza wa Geology pale UD? hivi yule demu wake wa kule kunduchi mtongani karibuna ile shule ya chekechea kashamhamisha pale ? itafahamika tu mwaka huu
 
mbona husemi magufuli alivyomjaza mimba mwanafunza wa Geology pale UD? hivi yule demu wake wa kule kunduchi mtongani karibuna ile shule ya chekechea kashamhamisha pale ? itafahamika tu mwaka huu

Acha umbea... Ulitaka akujaze mimba wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom