ukishindwa kupanga umepanga kushindwa !!!!!!!!!!!!!!!!!! hakika Spika ameshindwa kuongoza bunge inauma sana hoja za msingi kutupwa kapuni kwa maswala ya kishabiki na wajue kwamba ulimwengu umebadilika sio kama kipindi cha nyuma watu wanajua mengi kwa sasa uonevu una mwisho kama hamuamini muulize...
hivi ccm nbona mna maneno, wenyewe kwa vijembe mnaongoza tukiangalia tukio linalokuja la 2015 mnababaika kwa kuwa na majungu mnawasabisha LOWASA NA SITTA kwa kutokuwa na amani mbona hilo hamlizugumzii na hata MWAKYEMBE akawa hatiani hivi hili hamlioni ?
Lipumba alishawah kukaa lkulu miaka kumi kama mshauri wa rais na ndoo nchi ikaenda vibaya sana na kipindi mwinyi alikimbia lkulu, hivyo kama alishindwa kumshauri na mfumuko kama ule ukatokea je leo 2kimpa urais itakuwaje ? Tz 2we makin sana. Slaa ni jembe kiukweli 2uache unafik jaman
Tanzania ni nchi kama nchi nyingine lkn ni watu wa vivu sana na hata hawafikiri kabisa na sasa ngoja 2one mwisho wake ni nini (VIONGOZI WETU NI WAVIVU SANA WA KUFIKIRI ) Inauma sana (let we see)
Ni vizur sana kila mtu kujua kwa nini yupo duniani na nadhani kila mtu akijua ni kwa nini yupo lazima uwe na ETHICS za kazi yake 'madakitari ni watu muhimu sana' vitu kama hivyo vikiruhusiwa ni hatari sana ktk maisha ya watu na mwisho wake ni mbaya sana !
Ni vizuri kwa mitazamo yenu wanajamii lkn kwa nini kila kitu ni vigumu kukipata Tz na ni nani aliyetupandia hofu Wa Tz ? Mm nafikiri ni sahihi kabisa kuwa wale waliotoa masomo ya siasa, uraia, pamoja na sheria kuanzia chini ndio wenye makosa kwa sababu watu hatujiamin tunacho kidai na hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.