Maandamano maandamano maandamno

Yaani Madakitari wamefanikiwa kuitisha mgomo wa nji nzima; na sisi wananji tungelikuwa na mshikamano maandamano nji nzima sidhani kama kuna bomu la machozi litakaloruka.

mbona Serikali walishindwa kurusha mabomu au kutumia nguvu katika Mgomo wa madreva wa malori uliofanyika Mwezi October 2011 na huu wa mwezi january 2012???

mwezi october Kule Tunduma Polisi walikimbia pamoja na gari lao la maji washa na mabomu yao, wakawatishia waandishi wa habari wasitoe habari hiyo pia na picha zilizoonyesha polisi wakitoa mbio zisiwekwe katika magazeti. lakini madreva walikuwa na ushirikiano.

TUKIAMUA TUNAWEZA KUMUONDOA ADUI HUYU MNYANYASAJI NA MUUAJI WA RAIA!!!!!

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Ona tukeni mwee!...
 
Hatuandamani wakati wa kuongezeka kwa hadha ya maisha tutaandamana kwa kitu ambacho hata hukitaja? JF inaomba uwe wazi, tuandamane kwa lipi? Hatukuandamana wakati wa mgomo wa madaktari kuwaunga mkono kunusuru maisha ya ndugu zetu wagonjwa-tuandamane kwa lipi? hawa ndo Wa TZ bwana -mpaka taumbiwe kuandamana kuunga mkono uamuzi wa serikali -hapo hata watoto wa shule hadi chekechea watojipanga kwenye mabarabara
 
Tuatawalika kwa namna watawala wanavyotaka siyo kwa namna tunavyotaka tuliowapa mamlaka watawale. 2015 tutaongwa khanga, pila na kupigiwa mziki wa kizazi kipya na taarabu, mambo yanakuwa poa
 
Hakika muda ukifika hakuna kurudi nyuma, wadau wana wataifa wapenda maendeleo, wapendahaki, wanaharakati, wanaJF, WANAFACEBOOK, WANACCM, WANACHADEMA, WANANCCR, WANACUF, wanamapinduzi wake kwa waume tujitokeze ijumaa saa 3 asubuhi katika maeneo haya mlimani city, ubungo mataa, tazara, magomeni, sayansi, mbagala mwisho, mtoni kwa azizi ally, kimara mwisho kupinga ufedhuli na ubazazi wa nchi hii mimi na mwanangu tutakuwepo, hakika sina cha kupoteza kwani baba na babu wamepoteza miaka 50 iliyopita ni waktai wa kuandika historia mpya.

Ukoloni mamboleo hauna nafasi Tanzania.

umekula?? au unabwabwaja tu
 
Tanzania ni nchi kama nchi nyingine lkn ni watu wa vivu sana na hata hawafikiri kabisa na sasa ngoja 2one mwisho wake ni nini (VIONGOZI WETU NI WAVIVU SANA WA KUFIKIRI ) Inauma sana (let we see)
 
Ni maandamano ya amani tusiogope. Tuombe kibali na haki yetu ya kusindikizwa na polisi siku hiyo!!
 
namkumbuka gratian mukoba deus kibamba mnamo mwaka uliopita..
please wait while loading...
do not stay away or withdraw your attention on this thread
 
Maandamno ya nini? msituletee vurugu hapa. Na kwanini muyafanye Ijumaa? yafanyeni Jumapili. Msiwaharibie watu ibada zao.
 
kuna watu wengine wanafikri kwa kumia tumbo zao,kichwani mna makamasi,na tope na mchanga tu! Wengine wanatoa maada zinazoendana na matukio yaliopo, na wengine wana toa comments zilizo oza,kanakwamba mateso tulio nayo ss watnganyika hawayaoni jamani kueni waangalifu ktk kujibu,Serikali tulio nayo imeozaaa!!! Ni kama serikali ya San Abacha ya Mobuot Sese Seko wa Congo.
 
Wananchi wa tanzania wana upungufu wa akili mwilini! Mbunge analipwa 330 a day?mpo mmenyamaza?umeme mmepandishiwa mpo mmenyamaza?viongozi wanakula nchi mmpo mmenyamaza?dah hii shida kweli na kamwe hamuezinkwenda mahala, mtakuwa watu wa kuachwa kila sector!
Hata kuwasuport doctors 2meshindwa!
 
Hakika muda ukifika hakuna kurudi nyuma, wadau wana wataifa wapenda maendeleo, wapendahaki, wanaharakati, wanaJF, WANAFACEBOOK, WANACCM, WANACHADEMA, WANANCCR, WANACUF, wanamapinduzi wake kwa waume tujitokeze ijumaa saa 3 asubuhi katika maeneo haya mlimani city, ubungo mataa, tazara, magomeni, sayansi, mbagala mwisho, mtoni kwa azizi ally, kimara mwisho kupinga ufedhuli na ubazazi wa nchi hii mimi na mwanangu tutakuwepo, hakika sina cha kupoteza kwani baba na babu wamepoteza miaka 50 iliyopita ni waktai wa kuandika historia mpya.

Ukoloni mamboleo hauna nafasi Tanzania.

Ijumaa si ndio kesho, naona wadau wako kimyaa ila mimi hata ntafika hapo kutembea tu, ewe Mungu tusamehe watanzania kwani wote ni wehu hakuna anayetaka kuandamana, bravo JK kanyaga twende baba
 
khaaaaaaaaaaa sijipi pressure mie nala nashiba kivyao wanao piga kelele, alisikika mbunge mmoja akisema
 
Back
Top Bottom