Recent content by Kiwoso 1

  1. K

    JamiiForums Tanzania Wabunge CCM siwatishi lakini tusilaumiane

    Ni heri kusema unaisifu au kuishukuru serikali kwa kuleta maendeleo au kutenda jambo Fulani,kichefu kichefu unakuta kiongozi anasimama jukwani eti eti rais Samia Suluhu Hassan Katia kiasi Fulani kana mwamba kazitoa mfukoni mwake,ni ujuha na kujipendekeza kulikopitiliza
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mbowe: Mbowe na viongozi wa CHADEMA msiposikiliza ushauri wa Godbless Lema anaeshauri muondoe mawakili mahakamani, mtakuja kujiulaumu sana

    Hii kesi iendelee haijalishi kuwa Mbowe atafungwa au la tunahitaji kuweka record sawa tupate kujua madhaifu ya mahakama zetu na ubovu wa serikali ktk kuingilia mihimili mingine,ni kesi yenye mvuto mkubwa kuwatoa mawakili eti kwa kuwa rais keshamhukumu mshtakiwa hautasaidia acha tuone mbivu na...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kesi ya Mbowe na tofauti na kesi ya Sabaya

    Ndugu kesi hii siyo mpango wa samia huyu kuingizwa mkenge bili kujua,kesi hii muasisi wake ni magu ndiyo washtakiwa wa awali ambao samia anadai walishahukumiwa walikamatwa yangu uongozi wa magu mwaka jana
  4. K

    JamiiForums Tanzania CCM tukubali kuwa Chadema wako mbele Sana kidigitali

    Sasa unataka chadema waive yapi yaliyo mazuri ya CCM? Maana sifa zote chafu nchini zinaihusu CCM kubambikia kesi watu,wizi wa kura,kuua,watu wasojlikana na mengi mengine hivyo ijifunze lipi Kati ya hayo
  5. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA na vyama vya upinzani mnataka nini nchi hii?

    Mleta mada unachekesha Sana hivi ni kweli kazi ya upinzani kwa mujibu wa katiba? Wacha wafanye kazi yao iliyoanishwa halafu uwakosoe kwenye utendaji kuliko leo mnawakwamisha kwa makusudi ili waonekane hawajui wanachokifanya.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Mfumuko wa bei huku mtaani unashamiri, kuna nini kinaendelea?

    Usisahauhata muda wa maongezi pamoja na bundle za internet nazo ni balaa hali so shawari
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kuanzia kesho kwenye kesi ya Mbowe tutarajie lolote kumtokea Boniface Jacob mahakamani au nje ya mahakama

    Tunamwombea yasitokee hayo lakini hata yakitokea naamini bado Kuna vijana mahiri wa kuifanya hiyo kazi la muhimu tu wasije wakamdhuru Boniface
  8. K

    JamiiForums Tanzania Wamachinga wote walioko kwenye hifadhi ya barabara, mbele ya taasisi za Umma, mbele ya maduka wapewa mwezi 1 kuondoka

    Ilipita maeneo ya posts Hadi kariakoo jiji limeaharibika hii Vita ya wamachinga itawashinda,kosa lililofanywa na hayati magu litaigharimu nchi kwa muda mrefu lisipochukuliwa kwa umakini litahatarusha hata amani
  9. K

    JamiiForums Tanzania TANZIA Padre Paul Haule ameitwa nyumbani kwa Baba wa Milele

    Poleni kanisa na wote mnaguswa na msiba huu
  10. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kufanya mkutano na waandishi wa habari Agosti 17

    Mataga bwana dikteta wa kike kawaongezeeni posho basi taabu watu wataipata mitaani
  11. K

    JamiiForums Tanzania Askofu Renatus Nkwande asikitishwa na uongo wa Polisi kuhusu wana CHADEMA waliokamatwa ndani ya Kanisa

    Amani ya nchi inawekwa rehani pasipo sababu zozote,hizi chuki zinazopandikizwa na utawala kupitia jeshi la Polisi zinasadikisha kuamini ufa mkuu katika taifa. Inapandikiza chuki za kiimani ajabu hakuna kiongozi wa juu anatolea ufafanuzi Wala tamko,je kwa nini kuendelea kawaamini viongozi...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Anaandika Humprey Polepole kuhusu Salamu alizotuma Mbowe kutoka Gereza la Ukonga

    Wewe ni mpuuzi umelikoroga kwenu huko unatafuta pa kutokea,tulia Dawa ikuingie ya chadema yanakuhusu nini ili hali ngoma yenu hamjaimaliza
  13. K

    JamiiForums Tanzania Wapinzani (hasa CHADEMA) kuweni macho na CCM, Kuna uovu unahalalishwa huko mbele ya safari

    Nadhani ndiyo yako Ina maana yafaa tuyafadhi kwenye kumbukumbu zetu
  14. K

    JamiiForums Tanzania Pamoja na wanayotendewa, wanachama waendelea kujisajili kupitia Chadema Digital

    Mungu atakivusha chadema na mwisho kitafika ktk Moto ya baraka
  15. K

    JamiiForums Tanzania Hakuna jipya katika hotuba ya Mnyika na Waandishi wa Habari

    Umetema ushuzi mkuupole
Back
Top Bottom