Mindi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2008
- 3,523
- 4,991
Ni wazi kwamba wewe siyo mlengwa wa hii press. CHADEMA siyo kama ccm. CHADEMA ni chama cha siasa. Ccm wana wasemaji wao ambao ni polisi. Ccm imekufa, CHADEMA ipo hai, lazima ipumue pamoja na kubanwa kila kona. Watanzania wanasubiri kwa hamu taarifa za leo toka kwa makamanda waoHizi ”taarifa kwa uma“ zimekuwa nyingi mpaka tunawachoka sasa,afu mbaya zaidi mnachoongea hata hakieleweki