CHADEMA na vyama vya upinzani mnataka nini nchi hii?

ECONOMY

JF-Expert Member
Apr 10, 2017
680
480
Habari wanajamvi nimekuwa kwenye sintofahamu kubwa katika nchi hii ya Tanzania kwa kuwafikiria vyama vya upinzani nini hasa hitajio lao ili tuwape nchi.

Kwa mfano Kipindi cha Hayati Rais Magufuli yupo hai chadema na vyama vya upinzani walikuwa wanaikosoa serikali kwamba haliichukulii kwa uzito suara la corona na pia waliiomba serikali kuleta chanjo hapa nchini na kupigia chapuo matumizi ya barokoa na njia nyinginezo ili kujilinda na ugonjwa wa corna.

Lakini Baada Rais Magufuli kufariki na Mama Samia kuwa Rais akajaribu kutekeleza ile hoja ya wapinzani kwa kutulia mkazo njia za kujilinda na corona ikiwemo kuvaa barakoa na kuleta chanjo.

Cha ajabu hawa hawa wapinzani hawaonekani kumuunga mkono Rais kuhusu kuhamasisha watu kupata chanjo na hata viongozi wao hawaonekani hadharani kupata chanjo.

" SWALI WAPINZANI MNATAKA NINI "
 
Mkuu Economy, ungejikita katika masuala uchumi ingependeza zaidi, ili uweze kulitendea haki jina lako la kificho nyuma ya "keyboard". Tambua vyama vya upinzani havipo kwa hisani ya chama tawala, bali vipo kwa mujibu wa katiba na sheria.

Ni jukumu kubwa la vyama vya ushindani kuikosoa serikali inayoundwa na chama tawala, kuonyesha mapungufu ya sera zake na hatackufichua mauvo inayoyafanya, ili kujenga mazingira ya kutwaa na kuishika dola. Na hii ndiyo maana ya kuwa kila ifikapo nyakati za uchaguzi mkuu vyama hivi hutoa wagombea wa urais na ubunge kwa minajiri hiyo.

Si jukumu la vyama hivi kusifia mazuri yanayofanywa na serikali, kwa kuwa hilo ndilo jukumu la kikatiba iliyokabidhiwa. Maendeleo ya watu na vitu yatokanayo na mtumizi sahihi ya kodi na maduhuli mengine yalipwayo na wananchi ndilo jukumu kubwa la serikali, wala si hisani ya viongozi wa CCM.
 
Mleta mada unachekesha Sana hivi ni kweli kazi ya upinzani kwa mujibu wa katiba? Wacha wafanye kazi yao iliyoanishwa halafu uwakosoe kwenye utendaji kuliko leo mnawakwamisha kwa makusudi ili waonekane hawajui wanachokifanya.
 
Tatizo la kuwa na mawazo hasi, tafuta alichozungumza Mbowe kule Mwanza kuhusu chanjo kabla ya kukamatwa, fuatilia mambo kabla ya kuyarukia na jaribu sana kutokuwa na chuki, hii nchi si ya wanaccm tu.
 
Nchi huru husimamia misingi yake na siyo misingi ya chama tawala na viongozi wake bali misingi ya maendeleo ya nchi na ustawi wa raia wake.
 
Tatizo la kuwa na mawazo hasi, tafuta alichozungumza Mbowe kule Mwanza kuhusu chanjo kabla ya kukamatwa, fuatilia mambo kabla ya kuyarukia na jaribu sana kutokuwa na chuki, hii nchi si ya wanaccm tu.
Nionyeshe picha ya kiongozi yeyote wa chadema akichanjwa hadharani kama njia ya kuwahamasisha wananchi na wanachama wao.
 
Nionyeshe picha ya kiongozi yeyote wa chadema akichanjwa hadharani kama njia ya kuwahamasisha wananchi na wanachama wao.
Nioneshe picha yako ikichanjwa, angalau mimi niliweka humu nikichanjwa, najua hauna hiyo picha sana utasingizia imeungua!
 
Huwezi kuwa au kuwepo na Chama Cha upinzani kisha ukaiunga mkono Serikali ,ni sawa kwa Simba kuuza mechi kwa yanga.

Ifuatwe katiba kuwekwa na kuwepo tume huru ya Uchaguzi ,fulustopu.
Na zaidi msitegemee kuungwa mkono kutoka kwenye Chama chenye upinzani wa kweli labda ,wanaowaunga mkono ni wale mamluki wenu.
 
Unaiwazia Chadema tu! Vipi kuhusu Ccm? Ina lengo gani na Watanzania? Maana miaka inazidi tu kwenda, huku tukishuhudia wachache mkifaidi keki ya Taifa, halafu wengi tukiishi maisha ya kuunga unga.
Kwa hiyo wewe shida yako ni kuhamia IKULU ili mkaishi na Rais mle keki ya Taifa sio
 
Mkuu Economy, ungejikita katika masuala uchumi ingependeza zaidi, ili uweze kulitendea haki jina lako la kificho nyuma ya "keyboard". Tambua vyama vya upinzani havipo kwa hisani ya chama tawala, bali vipo kwa mujibu wa katiba na sheria.

Ni jukumu kubwa la vyama vya ushindani kuikosoa serikali inayoundwa na chama tawala, kuonyesha mapungufu ya sera zake na hatackufichua mauvo inayoyafanya, ili kujenga mazingira ya kutwaa na kuishika dola. Na hii ndiyo maana ya kuwa kila ifikapo nyakati za uchaguzi mkuu vyama hivi hutoa wagombea wa urais na ubunge kwa minajiri hiyo.

Si jukumu la vyama hivi kusifia mazuri yanayofanywa na serikali, kwa kuwa hilo ndilo jukumu la kikatiba iliyokabidhiwa. Maendeleo ya watu na vitu yatokanayo na mtumizi sahihi ya kodi na maduhuli mengine yalipwayo na wananchi ndilo jukumu kubwa la serikali, wala si hisani ya viongozi wa CCM.
Sasa ebu fafanua sera mbadala huko upinzani mnazozitoa zaidi ya matusi kutoka kwa viongozi wa upinzani kila uchao!
 
Habari wanajamvi nimekuwa kwenye sintofahamu kubwa katika nchi hii ya Tanzania kwa kuwafikiria vyama vya upinzani nini hasa hitajio lao ili tuwape nchi.

Kwa mfano Kipindi cha Hayati Rais Magufuli yupo hai chadema na vyama vya upinzani walikuwa wanaikosoa serikali kwamba haliichukulii kwa uzito suara la corona na pia waliiomba serikali kuleta chanjo hapa nchini na kupigia chapuo matumizi ya barokoa na njia nyinginezo ili kujilinda na ugonjwa wa corna.

Lakini Baada Rais Magufuli kufariki na Mama Samia kuwa Rais akajaribu kutekeleza ile hoja ya wapinzani kwa kutulia mkazo njia za kujilinda na corona ikiwemo kuvaa barakoa na kuleta chanjo.

Cha ajabu hawa hawa wapinzani hawaonekani kumuunga mkono Rais kuhusu kuhamasisha watu kupata chanjo na hata viongozi wao hawaonekani hadharani kupata chanjo.

" SWALI WAPINZANI MNATAKA NINI "
Kuna watanzania wengi sana akili ziko matakoni

Unajua maana ya opposition party?

Unaweza taja roles za opposition paries ata 3?

Unakuta mleta mada ni msomi kasoma Civics, G.S na DS ila akili ziko mkun.du.ni
 
Kwa hiyo wewe shida yako ni kuhamia IKULU ili mkaishi na Rais mle keki ya Taifa sio
Aliyekuambia hiyo keki ya Taifa inaliwa Ikulu ni nani? Think Big. Mgawanyo mzuri wa keki ya Taifa ni matumizi ya usawa ya raslimali za Taifa,nk.

Kunufaisha wananchi wengi, badala ya wachache kama ilivyo sasa.
 
Habari wanajamvi nimekuwa kwenye sintofahamu kubwa katika nchi hii ya Tanzania kwa kuwafikiria vyama vya upinzani nini hasa hitajio lao ili tuwape nchi.

Kwa mfano Kipindi cha Hayati Rais Magufuli yupo hai chadema na vyama vya upinzani walikuwa wanaikosoa serikali kwamba haliichukulii kwa uzito suara la corona na pia waliiomba serikali kuleta chanjo hapa nchini na kupigia chapuo matumizi ya barokoa na njia nyinginezo ili kujilinda na ugonjwa wa corna.

Lakini Baada Rais Magufuli kufariki na Mama Samia kuwa Rais akajaribu kutekeleza ile hoja ya wapinzani kwa kutulia mkazo njia za kujilinda na corona ikiwemo kuvaa barakoa na kuleta chanjo.

Cha ajabu hawa hawa wapinzani hawaonekani kumuunga mkono Rais kuhusu kuhamasisha watu kupata chanjo na hata viongozi wao hawaonekani hadharani kupata chanjo.

" SWALI WAPINZANI MNATAKA NINI "
Sera ambazo siyo shirikishi na ambazo hazina miongozo madhubuti huwa hazifanikiwi
 
Duuu! Hii kali
Habari wanajamvi nimekuwa kwenye sintofahamu kubwa katika nchi hii ya Tanzania kwa kuwafikiria vyama vya upinzani nini hasa hitajio lao ili tuwape nchi.

Kwa mfano Kipindi cha Hayati Rais Magufuli yupo hai chadema na vyama vya upinzani walikuwa wanaikosoa serikali kwamba haliichukulii kwa uzito suara la corona na pia waliiomba serikali kuleta chanjo hapa nchini na kupigia chapuo matumizi ya barokoa na njia nyinginezo ili kujilinda na ugonjwa wa corna.

Lakini Baada Rais Magufuli kufariki na Mama Samia kuwa Rais akajaribu kutekeleza ile hoja ya wapinzani kwa kutulia mkazo njia za kujilinda na corona ikiwemo kuvaa barakoa na kuleta chanjo.

Cha ajabu hawa hawa wapinzani hawaonekani kumuunga mkono Rais kuhusu kuhamasisha watu kupata chanjo na hata viongozi wao hawaonekani hadharani kupata chanjo.

" SWALI WAPINZANI MNATAKA NINI "
[/QUOT
 
Back
Top Bottom