Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,992
Wakuu chama chetu Cha CCM ndo kulikuwa chama Cha kwanza kuzindua Mambo ya CCM digital.
Walikuja na App ya CCM kwenye play store, ili wanachama wajisajiri kidigitali. Ukweli CCM hatujafanya vizuri kwenye hili. Hata mitandaoni Mfano Tweeter, JF ni kama Chadema wameiweka hiyo Mitandao mfukoni.
Sasa Chadema walikuja na Chadema Degital, ukweli wamefanya vizur Sana, especially kwenye kusajiri wanachama katika mfumo wa kidigitali, Katibu mkuu wao wa Bawacha, Catherine Rugge, yupo vizuri kwenye organization hii.
CCM na Chadema vitabaki vyama vikubwa vya siasa, hivyo kwa CCM igeni mazuri ya Chadema, na nyinyi Chadema igenii mazuri ya CCM.
Maendeleoa hayana chama.
Walikuja na App ya CCM kwenye play store, ili wanachama wajisajiri kidigitali. Ukweli CCM hatujafanya vizuri kwenye hili. Hata mitandaoni Mfano Tweeter, JF ni kama Chadema wameiweka hiyo Mitandao mfukoni.
Sasa Chadema walikuja na Chadema Degital, ukweli wamefanya vizur Sana, especially kwenye kusajiri wanachama katika mfumo wa kidigitali, Katibu mkuu wao wa Bawacha, Catherine Rugge, yupo vizuri kwenye organization hii.
CCM na Chadema vitabaki vyama vikubwa vya siasa, hivyo kwa CCM igeni mazuri ya Chadema, na nyinyi Chadema igenii mazuri ya CCM.
Maendeleoa hayana chama.