Duuuh, kweli nguvu ya umma inawatesa wana Magamba.
Eti Mjomba mbona unahangaika sana na Chama cha Wanaume? We ridhika na ulaji uliopewa maisha yasonge. Mzee kua na kadi yenu nyie magamba unashangaa? Wangapi wamo humo kwenye magamba lakini wanafagilia CDM?
Wazo zuri,ila 2naomba kuwepo na ufanisi.Sio Project jina 2.....tunataka maendeleo katika Jimbo letu.Pia msisahau kuboresha huduma za matibabu kwani watu wanatibiwa kama kuku,unafika hospitali unapewa dawa bila kupimwa?Kituo cha Afya Tamota kiongezewe wataalamu wenye sifa na vifaa bora vya...
Eidha tuwekane sawa kidogo kuhusu hili suala la Assistant Medical Doctors na Medical Doctors.Hawa madoctors bwana wanafanya kazi sawa sema tofauti inakuja ktk ngazi ya elimu!Kwamba hawa assistant wameungaunga kutoka CLINICAL OFISA hadi kua AMO,na MDs ni miongoni wa wale waliojitahidi kutoka AMO...
Huyo Muajiri nae si zitakua hazimtoshi!!!Wazi anajua kua hyo ni mashine ya Pombe then yy anaileta ofcn?anategemea nn kitokee kama sin kupombeka hadi documents za ofc ziloe mikojo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.