Recent content by Kiwavi mgambo

  1. K

    Masasi: Nyumba ya mbunge, magari 20, trekta vyachomwa moto... Watu wawili wadaiwa kuuawa!

    Mungu ibariki tanzania,mungu ibariki mtwara na watu wake!Amen
  2. K

    Kibonde: mwanasiasa yeye, jaji yeye,spika yeye...msikilizeni

    Kibaraka wa Mafisadi,anajipendekeza kwa JK ili apewe U-DC.
  3. K

    RUTALAKA: Sasa tumefikia robo ya uchumi Wa Marekani

    Kwan hamjui kua na huyo anaemwalika hapo studio nae ndo wale wana magamba?
  4. K

    KKKT kwalipuka

    Taarifa yako ni yakweli kabisa mtoa mada.Na hapa ninavyoandika huu uzi,Askofu Laizer ni mgonjwa sana kutokana na hali hiyo!
  5. K

    Mmejitahidi sana sana kumtetea BABU (Dr. Slaa), lakini...

    Duuuh, kweli nguvu ya umma inawatesa wana Magamba. Eti Mjomba mbona unahangaika sana na Chama cha Wanaume? We ridhika na ulaji uliopewa maisha yasonge. Mzee kua na kadi yenu nyie magamba unashangaa? Wangapi wamo humo kwenye magamba lakini wanafagilia CDM?
  6. K

    Bumbuli Development Corporation announces new board of directors

    Wazo zuri,ila 2naomba kuwepo na ufanisi.Sio Project jina 2.....tunataka maendeleo katika Jimbo letu.Pia msisahau kuboresha huduma za matibabu kwani watu wanatibiwa kama kuku,unafika hospitali unapewa dawa bila kupimwa?Kituo cha Afya Tamota kiongezewe wataalamu wenye sifa na vifaa bora vya...
  7. K

    Kituko kingine Wizara ya Afya, Waziri abariki uteuzi wa AMO kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu

    Eidha tuwekane sawa kidogo kuhusu hili suala la Assistant Medical Doctors na Medical Doctors.Hawa madoctors bwana wanafanya kazi sawa sema tofauti inakuja ktk ngazi ya elimu!Kwamba hawa assistant wameungaunga kutoka CLINICAL OFISA hadi kua AMO,na MDs ni miongoni wa wale waliojitahidi kutoka AMO...
  8. K

    Jamani Mke hanitoshelezi nifanyeje?

    kama mbele hakutoshelez,muombe tgo
  9. K

    Hakuna Fao la Kujitoa NSSF duniani kote - Ramadhan Dau

    Sishangai sana,watu na degree zao za nguo za ndani!
  10. K

    Hakuna Fao la Kujitoa NSSF duniani kote - Ramadhan Dau

    Sishangai sana,watu na degree zao za nguo za ndani!
  11. K

    Hii lazima iwapotezee watu ajira...

    Huyo Muajiri nae si zitakua hazimtoshi!!!Wazi anajua kua hyo ni mashine ya Pombe then yy anaileta ofcn?anategemea nn kitokee kama sin kupombeka hadi documents za ofc ziloe mikojo!
  12. K

    Kama ni wewe utachukua uamuzi gani?(kwa wanaume tu)

    duuuu,talaka sitoi!acha iwe mbwai ila cwezi kumuacha wfe akaliwe na m2 mwingine!
Back
Top Bottom