bado unakunywa kiroba?
wewe ni CHADEMA halisi ...always u are mad and crazy !
Pamoja na heading kujichanganya siyo mbaya mkuu maana umewakilisha mawazo yako.
1. Swali la kwanza kuomba tu msaada wa ufafanuzi kwenye red zote hapo juu, unatofautishaje kejeli na matusi kwa maneno hayo? na unamaanisha nini
2. Uzalendo wa nape ni kutangaza ufisadi ?au propaganda za chama chake baada ya kushindwa kuchukuwa hatua, tushangile matangazo bila kuchukuliwa hatua?
3. Kama kukejeli ni uzalendo utakubaliana na mimi Dr slaa atakuwa mzalendo zaidi ya nape kwanini tafakali....
Pamoja na heading kujichanganya siyo mbaya mkuu maana umewakilisha mawazo yako.
1. Swali la kwanza kuomba tu msaada wa ufafanuzi kwenye red zote hapo juu, unatofautishaje kejeli na matusi kwa maneno hayo? na unamaanisha nini
2. Uzalendo wa nape ni kutangaza ufisadi ?au propaganda za chama chake baada ya kushindwa kuchukuwa hatua, tushangile matangazo bila kuchukuliwa hatua?
3. Kama kukejeli ni uzalendo utakubaliana na mimi Dr slaa atakuwa mzalendo zaidi ya nape kwanini tafakali....
Unajiuza wapi siku hizi? Buguruni au Ambiance!
Chukua hatua.....
wewe umekula ugorooooooooooooooooooooonaona mke wa nape umejongea jamvini, mwambie aje mwenyewe ajitetee
jenga hoja,kufumaniwa inauhusiano gani hapa?...unaishi kwa umbeya badala ya kuchapa kazi?...hujasikia mke wako anatoka na jirani yako?