Madhara ya Hiroshima Na Nagasaki hawakuyajua,biashara ya utumwa minyororo miguuni,mauaji ya Gadafi,Africa isipige hatua nongwaaaaa,neo-colonialism at work,president magufuli go go go sir,let trump blow his trumpet,go go go go!!
Kaaibisha Shangazi,Tanzania ipo chini ya rais taasisi zote zimeamliwa ziwepo bungeni Na kutiwa saini Na serikali ya tz,hata TLS Ni ya rais sio kls-karume law society asikufulu shangazi-
Ulitaka alale asijue wasaidizi wake,Ili wakiharibu mpate pakusemea,baba mwema Ni yule anayoifuatilia familia yake-anaisimamia Na kuijenga istawi vizuri,ustawi WA nchi upo mikononi mwake zaidi hajaongelea privacy zao amegusia masula yanayogusa taifa tu
E
Endelea kukaa nyuma ya keyboard wenzako wakifanya kazi,maisha Ni vitendo sio porojo ndugu,msipumbaze wananchi kwa propaganda uchwara badala ya kuwaeleza wafanye kazi,
Duhh watu Ni shidaaaaaa,rais anaweka misingi ya kiuchumi katika taifa,miundombinu ikiwepo yenye kutoa huduma safi na kwa wakati hii itapunguzia wananchi kero mbalimbali,nvhi itakuwa kama kijiji katika utoaji huduma na kila mwananchi atafaidi,tumuunge mkono rais wetu,watumishi pekee kuwa na hela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.