tameer
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 773
- 1,448
Watchhundred Draw...haya ulietaka code hiyo hapoNani huyo mwenye jicho la mvuto? Wekeni hata CODE.
Watchhundred Draw...haya ulietaka code hiyo hapoNani huyo mwenye jicho la mvuto? Wekeni hata CODE.
Aha moment at last.Kwa Maelezo ya wadau itakuwa ni SULULU.
Hahahahah Sir Jiti sio..Watchhundred Draw...haya ulietaka code hiyo hapo
Haahahaa Bonge la CODE.Watchhundred Draw...haya ulietaka code hiyo hapo
Ha haaa ile shingo mbaba hata mimi nimekolea!Nje ya mada. Hata yule anayeongoza wizara iliyo na Muhimbili, Amana, Ligula, Mirembe, Mloganzila yupo vizuri sana. Macho plus shingo mi hoi
Nyie wazee huwa mnapenda au mnatamani tuDaah mimi juzi nilikuwa naangalia TBC nikaona kabisa mtu ana jicho hilo lakini ikabidi niache tu.
Nani huyoNilijua nimeona peke yangu, lile jicho na tabasamu lake na kwa umri ule, je ujanani ilikuwaje. Mungu kambariki sana na ule upole wake na azidi kumbariki zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watchhundred Draw...haya ulietaka code hiyo hapo
Hahaa ... wakuu kumbe na nyinyi huwa mnateseka sana ... mimi nilidhani hilo ni kwa sisi ma baro baro tu pekeeDaah mimi juzi nilikuwa naangalia TBC nikaona kabisa mtu ana jicho hilo lakini ikabidi niache tu.
Hahaa daah !!!Braza haya mambo ya wakubwa haya, binafsi naogopa haya kuyaongelea.