African woman looking white! What went wrong with us?

African woman looking white! What went wrong with us?

Anaweza akaharibu DNA yake kwa vidonge lakn akishafanya hivyo hawezi tena kuzaa. Kumbuka kuwa pundamilia hawezi kumzaa punda ingawaje wote ni punda according to their nature of genetic make up. Every creature bears the offsprings originated from their species.
In biology living organisms may have the same genus but different species. Only species specify where a certain living creature belongs.
Hili somo ungeweka uzi wake mkuu. Nimevutiwa Sana.
Sina hakika japo, Michael Jackson hakuwa na mtoto wan kuzaliwa katika njia ya kawaida, yaani MTU mke na MTU mke kujamiiana. Inasemekana alipandikiza mbegu kupata mtoto. Hii sio sababu kweli, maana akibadilisha race akawa kiumbe mpya kabisa duniani



Sent using Jamii Forums mobile app
hili
 
Kila mtu anakushangaa ...hahumaa ukiwa empty set ni empty set tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu akikuuliza kwanini unamwambia huyo jamaa(Tz mbongo) kuwa ni empty set,utaeleza nini?kwamba sababu anapinga wanaojichubua kuwa wanataka kiwa kama wazungu?

Halafu hao wananishangaa mbona siwaoni au mnanishangaa huko Pm
 
Mbona kuna waafrika weupe wa kuzaliwa na huzaa watoto weusi,ndiyo maana nasema hakuna anayejichubua ili awe mzungu kwamba hadi uzao wake nao uwe weupe,mtu anajichubua yeye kama yeye tu ili awe mweupe.na suala la uzungu wala uchina.


We jichubue tu.
 
Wanaopenda rangi nyeupe, nywele za muonekano wa kimagharibi n.k watapingana sana na hoja iliyoletwa mezani.
Suala la mwafrika kutaka kumfanana mtu wa asili ya magharibi au mashariki ya kati litaendelea kuwepo hadi kiama.
 
Hawa dada zetu waliokuwa weusi na kujigeuza weupe kama wazungu, ni wakuhurumia tuu, kwa sababu japo wanapendeza kwa muonekano, lakini mambo ya mwilini, pia yanabadilika..

Niliwashauri dada zetu wajivunie rangi zao za asili, tena hata hao ma black, kuna types mbili

Enjoy Black Beauty: Did You Know They Are Two Types?!. Black Inside Out & Black Out, Inside Red!. - JamiiForums

P
Mwanamke anajiweka kutokana na wanaume wanavyotaka awe, nyie wasukuma kwa kupenda weupe mnaharibu sana madada zetu. You are to blame.
 
Mara nyingi huwa nawaza tu
Hivi ingekuwaje mzungu angekuwa na ngozi nyeusi na nywele za kipilipili alafu sisi tungekuwa na ngozi ya pink (ile ya kwao) na nywele nyoofu.

Ingekuwaje?
 
Mara nyingi huwa nawaza tu
Hivi ingekuwaje mzungu angekuwa na ngozi nyeusi na nywele za kipilipili alafu sisi tungekuwa na ngozi ya pink (ile ya kwao) na nywele nyoofu.

Ingekuwaje?
Tungeichukia rangi nyeupe na kuipenda nyeusi.
Kwakuwa Wazungu wametangulia katika Ustaarabu wa maendeleo, basi kila kitu chao kimeonekana bora.
Ila afadhari wao wangekuwa wausi ili tushindwe kubadiri rangi kilahisi toka rangi nyeupe kuwa nyeusi.
Kuliko ilivyo hivi sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara nyingi huwa nawaza tu
Hivi ingekuwaje mzungu angekuwa na ngozi nyeusi na nywele za kipilipili alafu sisi tungekuwa na ngozi ya pink (ile ya kwao) na nywele nyoofu.

Ingekuwaje?
Bila Shaka tungetamani rangi nyeusi na kuchukia Ile ya kitimoto
 
Mbona, wazungu pia hawapendi ngozi yao nyeupe. Wakati wa kiangazi (summer), wanakaa masaa kwenye jua bila nguo, ili ngozi ipigwe na jua na ipate rangi ya browni, yaani suntan. Kama jua ikikosekana, basi wanaenda kwenye gym, saloon, parlour, na wanakaa kwenye mashine ambayo inawapiga manyonzi na kuwapatia rangi brown.

Kuishi duniani kuna kazi kweli kweli. Mzungu mwenye ngozi nyeupe anaiona ngozi yake haina mvuto na anaikaanga kuifanya iwe brown. Mwaafrika mwenye ngozi nyeusi/browni anaichubua ili ngozi iwe nyeupe. Halafu mwisho wa siku wote wanaanga'amia na saratani ya ngozi, skin diseases, rashes nk
 
Kuna Waafrika Weupe na Weusi
Kuna Waarabu Weupe na Weusi
Kuna Wahindi Weupe na Weusi
Sijawahi kumwona Mwarabu au Mhindi Mweusi akiichukia ngozi yake nyeusi na akafanya juhudi ya kubadilisha ngozi yake iwe ya rangi nyeupe.
Wote wanazipenda na kuzithamini rangi zao za asili.
Tatizo lipo kwa Mwafrika Mweusi, kuna baadhi ya Waafrika weusi hawauthamini weusi wao.
Wanalazimika kuharibu ngozi zao ili ziwe Nyeupe.
Hii ndio tofauti ya Waafrika.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa aisee hujawahi kuona mhindi mweusi au mwarabu mweusi akijichubua? Sasa kwa taarifa yako hakuna watu wanaongoza kujichubua kama hawa. Tena kama ukitoka mweusi mapema kabisa tangia utotoni wanachubuliwa.
They built a whole modern day caste system based on the shade of one's skin. Tena bora huku Afrika watu wanafanya unafiki kidogo kwa kujifanya kusema sijui black beauty, wakati kutwa kusifia wadada wenye rangi za mtume. Ni hivi, sio waafrika tu tunajichubua tena sisi hata hatukaribii kuafikia waarabu na wahindi. Kwao hawafichi kabisa na ipo wazi kuwa ukiwa mweusi we ni mbaya na weusi ni mbaya.
 
Juzi nimemla mmoja waaiiii dushe jeusi mwili mweupe nikabaki kuangalia Kama dakika 10,balaa tupu
 
Back
Top Bottom