Recent content by kivu

  1. K

    Dangote Cement wamekodi majenereta 75 China kwasababu TANESCO wameshindwa kuzalisha umeme wa kutosha

    Kwa nini akataliwe mbona TPC moshi wanazalisha umeme wao?
  2. K

    Moshi ipo kama nilivyoiacha

    Anasema moshi hamna mall huyu anazungumzia Moshi ipi? Kuna Nakumatt ambayo ni ya kwanza kufunguliwa tanzania. kuna uchumi supermarket jengo jipya la nssf kuna mini supermarket kibao kama rafiki, kilimanjaro, corona n.k
  3. K

    Moshi ipo kama nilivyoiacha

    Unasema Moshi haibadiliki wewe sema ulikuwa unataka tu ujulikane umetoka nairobi. Moshi wamepeleka proposal ya kuwa jiji anasubiriwa rais asign tu maana vigezo vyote vimetimizwa. Leo hii moshi zinajengwa malls zenye level za malls za dar es salaam yako majengo mapya marefu na mazuri kama ya miji...
  4. K

    Moshi ipo kama nilivyoiacha

    Halafu mnatoka huko mnaenda rombo, marangu machame lakini mkiulizwa mnasema tunaenda Moshi.
  5. K

    Moshi ipo kama nilivyoiacha

    Tatizo unakaa kijijini na wewe ni muongo kabisa. Tuulize sisi watoto wa town hapo kipande ya pasua. Moshi miaka mitano iliyopita ilikuwa kata chache ndio zilikuwa na barabara za lami. Lakini sasa ukienda pasua lami, majengo lami, soweto lami, kcmc, ngangamfumuni, mwereni, kb lami na mpk 2020...
  6. K

    Mada Huru: Ni Mtangazaji yupi anayekuboa zaidi?

    Wengine mnaleta chuki binafsi huku
  7. K

    Dkt. Mwaka aonyesha vyeti na vibali vyake

    Msishangae kusikia Kigwangallah kafanya ziara ya kushtukiza kwa babu wa loliondo
  8. K

    Dkt. Mwaka aonyesha vyeti na vibali vyake

    Wivu unawasumbua viongozi wetu.
  9. K

    Uingereza yaishambulia tena IS nchini Syria

    Hivi mmeshawahi kujiuliza hivi vikundi vinatoa wapi silaha? na hakuna hata nchi moja kubwa ilishawahi kusema au kuishutumu nchi yeyote kuwauzia silaha. Fikiri usiendeshwe na mihemko
  10. K

    Kwanini Kinana huwa hakubaliki kwao Arusha?

    Kawalisha kitu cha nature bado imekula kwake!!!
  11. K

    Kwanini Kinana huwa hakubaliki kwao Arusha?

    Huyu anayesema Arusha na moshi ukiwachinjia mbuzi na pombe umewamaliza mbona ccm wao hawachinji kama ni mbinu ya ushindi
  12. K

    Yaliyojiri Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Arusha mjini, Lema atangazwa mshindi

    Hakika nimegindua kwa nini watu wa Arusha ni wajanja sana na wanakubalika kila sehemu hata wale wanaojiita watoto wa dar wanawatambua watu wa Arusha ni shidah. Ongereni sana Arusha mmeonyesha uwezo wenu wa kufikiri upo juu tofauti na sehemu nyingi sana za Tanzania. Viva Arusha Viva Lema
  13. K

    Msaada: Natafuta annointing water ya T.B Joshua

    Waislam hawatumii maji ya baraka kwamba yameombewa na sheikh flani hapana maji ya Zamzam historia yake ni maji yaliyotokea kimiujiza na yaliombewa dua na nabii Ibrahimu yawe maji salama kwa ummah wa kiislam yani watu walio surrender kwa Mwenyezi Mungu na dini zote zinamkubali Ibrahim alikuwa...
  14. K

    Osama bin Laden yupo hai, ukweli ndio huu

    Kuna muuaji mkubwa duniani kama George Bush. Ameshambulia nchi nyingi na kuua watu wasio na hatia
Back
Top Bottom