Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
kalagabaho
Kama unasahihishwa na mwalimu nchi za ulaya uki google kama hivyo una fail kuna principle lazima uziweke kwenye arguments or arguments should be backed with physical evidence, personality matching the environment of those past society, psychological reasoning of those era kwa hivyo kabla ujakurupuka lazima usome maandishi ya mtu ambayo yana credentials ndio uandike research zako which also its arguments can be traced ata kama unaandika thesis ya history in 10th century. Without evidence people will just take that writing as pure bunkum.
On the other hand hakuna kitu google unakosa ambacho kipo kwenye journals zozote au kitabu chochote if not more when doing research provided kwanza unajua principles zenyewe za subject matter and for you to do that lazima usome vitabu vingi sana from a to A-Z its called foundation building with that reasoning knowledge the world of google is yours to exploit; at least information wise leave it to the pros.
Kama unasahihishwa na mwalimu nchi za ulaya uki google kama hivyo una fail kuna principle lazima uziweke kwenye arguments or arguments should be backed with physical evidence, personality matching the environment of those past society, psychological reasoning of those era kwa hivyo kabla ujakurupuka lazima usome maandishi ya mtu ambayo yana credentials ndio uandike research zako which also its arguments can be traced ata kama unaandika thesis ya history in 10th century. Without evidence people will just take that writing as pure bunkum.
On the other hand hakuna kitu google unakosa ambacho kipo kwenye journals zozote au kitabu chochote if not more when doing research provided kwanza unajua principles zenyewe za subject matter and for you to do that lazima usome vitabu vingi sana from a to A-Z its called foundation building with that reasoning knowledge the world of google is yours to exploit; at least information wise leave it to the pros.