Recent content by Kitu_Kizito_Kichwani

  1. Kitu_Kizito_Kichwani

    Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

    Anawachallenge A level katika ishu zipi Critical thinking Creativity Au current issues. Kama ni reciting za principle za science basi ni kutokana na kuwa na weledi katika kuzungumza kingereza. Kwani hilo ndio tatizo la wanafunzi wa shule za kawaida.
  2. Kitu_Kizito_Kichwani

    Tuliopitia maisha ya "Saidia Fundi" tukutane hapa

    Saidia Fundi ilinisaidia sana nilivomaliza formsix. Nilipiga miezi sita. Nashukuru kwa sasa nafanya kazi zote za nyumbani kwangu hasa umeme na plumbing napiga mwenyewe.
  3. Kitu_Kizito_Kichwani

    Shule Binafsi zinawaumiza Wananchi kwa kutoza ada kubwa

    Kwan lazima mtoto apate hiyo elimu ya kukaririshwa !?
  4. Kitu_Kizito_Kichwani

    Swahili Programming Language - swap

    Hii ni mwanzo mzuri sana. Ila mm mawazo yangu ni kwamba kipatikane kitabu cha kiada cha kiswahili ktk shule za awali( hasa za umma) chenye namna murua ya kuwavuta watoto kujua umuhimu wa lugha za kuprogramia. Then tutafika kwenye hizi vitu za kujenga juu ya framework kama hizi.
  5. Kitu_Kizito_Kichwani

    Nikiwa kama kijana ninasikitika na kuumia kwa kutokuwa na kipato cha kutosha kuendesha maisha. Nahisi kudharaulika na kila mtu

    Toka hapo ulipolelewa uende mbali. Hata maandiko yansema hivyo. Vinginevyo utakalia/ utataga. Najua ulikuwa unawacheka waliokuwa wanafeli pepa basi mtago wa maisha ndio mtago hatari sana.
  6. Kitu_Kizito_Kichwani

    Mwanasayansi Mkuu wa Nyuklia Iran auawa

    Shida hawa jamaa ni ndugu wa damu kabisa. Hivyo ni koo ambazo ni mataifa kwasasa wanafyekana tu. Hawa Wairani( sio waarabu na hawapendi kabisa kuitwa waarabu).
  7. Kitu_Kizito_Kichwani

    Kujifunza programming bila kwenda chuo

    We jamaa utakuwa bado uko chuoni. Si bure. Yan unaona kabisa haiwezekana kwa mtu kuwa programming progidy bila kwenda ku recite concepts za kwenye vitabu!? . Hapo niseme wazi labda sio ama vyuo vya bongo. Labda uniambie huko dunia ya kwanza. Kibongo bongo degree nyingi sana hasa hizi za...
  8. Kitu_Kizito_Kichwani

    TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

    Huyu Charwe anaonekana alikuwa mtu na nusu kuliko Mkangwa eeh.
  9. Kitu_Kizito_Kichwani

    GE2020 Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu

    Mkuu P tuache yote kwanza. Hebu tuletee thread ya " 1mil 1995". Mana itatufunza mengi. Mpunga uliishia wap !
  10. Kitu_Kizito_Kichwani

    Najivunia kuacha chuo. Kijana mwenzangu, huhitaji shahada kufanikiwa kimaisha (to be rich)

    Hongera sana Kiongozi. Inaonesha kuwa damu ya biashara inarun through your veins mzee.
  11. Kitu_Kizito_Kichwani

    Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

    Yametatuliwa na wanataaluma mbalimbali. Ila alifanya jambo la ajabu ni huyu aliyesolve Poincare conjecture ). Mrusi ( Grigor Perelman) aliyekataa dola milioni moja kama zawadi ya kazi yake problem. Halafu hii njemba inaishi kwao kwa mama ake. Hawa jamaa wenye akilinyingi sijui wakoje.
  12. Kitu_Kizito_Kichwani

    Je, mmea wa "stevia" ndio suluhisho la uhaba wa sukari nchini?

    Mm nimeshafanya tafiti za awali juu ya huu mmea baada ya kuambiwa how potential the plant is. Ila kwakaili za kuambiwa sijui uko mtaani si kweli. Kwa haraka haraka hakuna mahali kwa Tanzania kuna shamba hata moja. Ila kwa East Africa labda ni Kenya na Rwanda kidogo. Ila kwa taarifa zilizopo...
Back
Top Bottom