Mkaa wa mawe
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 5,036
- 7,447
Kwanza jifunze kutumia lugha za busara na sio matuso au kejeli, JF hairuhusu hiyo kitu.nsiwe najibishana m2 kumbe wenge..
Pia unaenda nje ya mada kwa kuingiza ambayo sijayaandika wala kuyagusia.
Jibu swali aliyegundua law of nature alifundishwa na nani?
Kwanini umeniuliza hili swali?Unaejua programming kwanza tuanzie hapo..
Kujua unachoongea hakubadilishi uhalisia.Mm cja guess wala cja kisia kisia najua nnachoongea
