Friend upo...Sijawai justia Elimu yangu..hata Kama Sina mafanikio makubwa Sana kipesa..naamini sikutoka Mtupu.
Nipo mkuu...
Maisha kutokuwa na formula..maana Yake Sio wote tutatumia Pythagoras Theorem kufika solution sahisi..Bali kila mtu atatumia njia yake ambayo yeye anaona inafaa kufikia mafanikio.Acha kujidanganya ndugu.
Maisha yana fomula kama huko chuo ndo mnaambiwa hivyo basi ilikuwa kwangu sahihi kabisa ku drop chuo
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza kila kitu hapau will regret in the future......elimu haikusaidi kupata hela ila inakusaidia kuwa na uwezo wa kupambanua mambo........mafaniko sio pesa tu mafanikio ni neno zaidi ya pesa........
Mbona story umeikata ghafla!
Kwa hiyo biashara ya mazao, mfano ufuta, wewe unakiwa ni middle man?Nashukuru sana.
Mafanikio yapo kwani nilipoanza sio sawa na hapa nilipo sasa.Haya kwangu ni mafanikio makubwa sana.
Tangu nipo shule ya msingi nilikuwa napenda nifanye kitu/kutatua tatzo ili nipate pesa lakini mimi nimesaidia tatizo hilo,kwahy nimewasaidia wengi sana katika umri wangu huu niliokuwa nao.
Nimefakiwa kuajiri watu kama 12 hadi saa directy.Katika hao 12,5 wanafamilia zao ambao zinawategemea kwa kila kitu.Hii kwangu ni mafanikio.
Ila nina mtandao mkubwa sana wa kupata taarifa mbalimbali za biashara ambazo zinanisaidia kutambua fursa wapi ilipo na namna ya ku achiev hiyo fursa.
Ila kikubwa nilikuwa napenda niwe na freedom katika maisha yangu hasa financial freedom Nashukuru nimepata uhuru ninao utaona.
Mafanikio yapo mengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo hayo maelezo umeweza kuandika sababu umepitia Shule. Kwenda shule lengo ni kuelimika. Na sio kuwa tajiri au kufanikiwa maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka 2020.
Mafanikio yangu.
Licha ya changamoto kadhaa nilizopitia katika safiri ambayo bado sija fika mwisho,nimepata mafanikio mengi sana tena sana.
1~Nimepata connections na watu wengi ambao ni productive na Money maker.
2~Nimepata knowledge kubwa sana ambao hauwez kupatikana darasani hata ukisoma miaka 20.Lakini knowledge hii unaipata ukiwa unapambana na maisha.
3~ukiacha materials thing(Nyumba kadhaa,usafiri,n.k) naweza kwenda bank na kuchukua hata mil 150-200 kitu ambacho ni wasomi wachache na wafanyakazi ambao wanaweza kukopesheka kiasi hicho cha pesa.
Hapa mwezi huu nimepanga nizame bank nikachukue mil.80 kwa ajili ya kununua ufuta huko Lindi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kwa kuwa umefikiria nje ya boksi japo hatuwezi lingana kwenye mipango na maono.
Sasa mkuu hebu tuambie mpaka sasa una kipi ambacho ni mafanikio kwako si lazima iwe nyumba na gari nahitaji kujua maendeleo ya unachokifanya na unafanya hicho hicho ulichotuambia au una kingine?
Pia kwenye stori nzima hatujasikia changamoto yoyote uliyowahi kukutana kwenye biashara zako mbali na hizo za shule kukubana je, hukuwahi kupata? Na kama ulipata ulitatuaje?
Tueleze yale tusiyojua kwa ufupi kwenye biashara mfano unakuta mtu anakwambia nilianza na lita 10 za petrol ndani ya mwaka mmoja nikawa na petrol station bila ya kutuambia mchakato ulikuaje?
Nisaidie au tusaidie mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo advance ulipata grade gan? Naomba ushahid wa picha ukinionyesha Cheti chako ficha vingine vyoote acha grade na Jina la shule, 2. Mafanikio kwako unaya tafsiri vip?
Sent using Jamii Forums mobile app