Yote ni kutaka kujua tu binadam alitokea/anzia wapi.
Kiufupi, haitakuja kutokea binaadam akajua chanzo chake, hilo litabaki kua fumbo tu, lisilo na jibu.
Hakuna anaejua, alie wahi kujua, atakae wahi kujua, Dunia ilianza vipi? Sio Dini wala Sayansi yenye majibu sahihi ya nini chanzo cha Dunia/uhai.
Tuendelee tu kulishana matango pori maisha yaendelee.
Upuuzi mtupu.
Hivi vijana wa kizazi hichi mbona wapuuzi sana hivyo!
Mukishiba tu hamuna cha kuongea munaamua kupita mitandaoni na kueneza vinyesi, huo ni ukulaanina.
Mkuu hata wewe unaweza fanya hivyo, sio mpaka mwengine afanye kwa ajili yako.
Hii Dunia kila mtu ana stress zake, wengine mapenzi wengine siasa, usiwapangie watu kitu cha kufanya.
Mujirahisishe wenyewe alafu mutegemee huruma yetu wanaume?
Kwanza wemwenywe hapo tayari umeshamdharau baba yako kwa kumuita nyambichwa.
Kiufupi malaya ni mwanamke yeyote anae tombesha nje ya ndoa yake, bila kujali ni nani?
Waarabu hawakuwahi kumnunua mtu mweusi na kumpeleka kwao (bara arab) bali waliwanunua na kwenda kuwauza kwa wazungu (Ulaya) punguza chuki kwa waarabu.
Hiyo history yenu ya kubumba kwasasa haina nafasi vichwani mwa wadadisi wa mambo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.