Upuuzi mtupu.
Hivi vijana wa kizazi hichi mbona wapuuzi sana hivyo!
Mukishiba tu hamuna cha kuongea munaamua kupita mitandaoni na kueneza vinyesi, huo ni ukulaanina.
Mkuu hata wewe unaweza fanya hivyo, sio mpaka mwengine afanye kwa ajili yako.
Hii Dunia kila mtu ana stress zake, wengine mapenzi wengine siasa, usiwapangie watu kitu cha kufanya.
Mujirahisishe wenyewe alafu mutegemee huruma yetu wanaume?
Kwanza wemwenywe hapo tayari umeshamdharau baba yako kwa kumuita nyambichwa.
Kiufupi malaya ni mwanamke yeyote anae tombesha nje ya ndoa yake, bila kujali ni nani?
Waarabu hawakuwahi kumnunua mtu mweusi na kumpeleka kwao (bara arab) bali waliwanunua na kwenda kuwauza kwa wazungu (Ulaya) punguza chuki kwa waarabu.
Hiyo history yenu ya kubumba kwasasa haina nafasi vichwani mwa wadadisi wa mambo.
Brother watu hao ni wakuwaonea huruma kabisa.
Wengi wao ni majob less, wapo mitandaoni kutukana viongozi na watu wote walio fanikiwa kimaisha.
Binafs huwa nawaita wapumbavu.
Sawa we mzee ulieanza kufatilia mpira kwenye mbili saba saba.
Lakini hili halibadilishi kitu kuwa wewe ni mbumbumbu (kwa mujibu wa Aden Rage)
Hivi nikikuuliza kosa la Mangungu ni lipi lililo pelekea jana mumfanyie fujo utanieleza?
Mbona timu ikishinda ama ikisajili hamumsifii badala...
Nchi gani inayo vuja damu mpumbavu wewe?
Hebu tutolee huu upuuzi wako hupa.
Unafaidika na nini na siasa za kusadikika kwenye maisha yako.
Democracy hata hizo nchi zilizo endelea imekua kuzungumkuti sembuse huku Dunia ya tatu?
Tafuta pesa, kama huna pesa njoo nikuajili ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.