Recent content by Kitoabu

  1. Kitoabu

    Watu wengi wanamuabudu Mungu wa uongo hapa duniani

    Unaandika jambo utadhani ulikuepo vile kipindi jambo hilo linatokea.
  2. Kitoabu

    Tundu Lissu sasa awa Mwanasiasa maarufu zaidi Barani Afrika

    Upuuzi mtupu. Hivi vijana wa kizazi hichi mbona wapuuzi sana hivyo! Mukishiba tu hamuna cha kuongea munaamua kupita mitandaoni na kueneza vinyesi, huo ni ukulaanina.
  3. Kitoabu

    Wassira: Kulikuwa na sababu ya msingi polisi kuua watu MO29

    Mkuu hata wewe unaweza fanya hivyo, sio mpaka mwengine afanye kwa ajili yako. Hii Dunia kila mtu ana stress zake, wengine mapenzi wengine siasa, usiwapangie watu kitu cha kufanya.
  4. Kitoabu

    Wanaume wa kibongo acheni unafki: Angekuwa mzungu mwanamke amewaita msingeenda?

    Malaya ni mwanamke, mwanaume ni mtombaji, tuelewane kwenye hilo.
  5. Kitoabu

    Wanaume wa kibongo acheni unafki: Angekuwa mzungu mwanamke amewaita msingeenda?

    Mujirahisishe wenyewe alafu mutegemee huruma yetu wanaume? Kwanza wemwenywe hapo tayari umeshamdharau baba yako kwa kumuita nyambichwa. Kiufupi malaya ni mwanamke yeyote anae tombesha nje ya ndoa yake, bila kujali ni nani?
  6. Kitoabu

    Jumanne inaingia huenda kwa kishindo tokea UAE!!

    Waarabu hawakuwahi kumnunua mtu mweusi na kumpeleka kwao (bara arab) bali waliwanunua na kwenda kuwauza kwa wazungu (Ulaya) punguza chuki kwa waarabu. Hiyo history yenu ya kubumba kwasasa haina nafasi vichwani mwa wadadisi wa mambo.
  7. Kitoabu

    Kuna uwezekano mkubwa Tanzania kupokwa uenyeji wa Afcon 2027, na kupewa Rwanda

    Endelea kuota. Ukishtuka utakuta michuano ipo final na mwenyeji ni Tanzania.
  8. Kitoabu

    Niueni! Nimekaa paleee. Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa AFCON itafanyika nchi ya Kusadikika

    Jf imejaza wapuuzi wengi sana hii miaka ya karibuni. Hivi nawewe ni GT ?
  9. Kitoabu

    Hasira za Mashabiki; Mangungu aokolewa na Polisi

    Hapo kwa mama yangu, umenikosea sana. Niseme tu, yaishe.
  10. Kitoabu

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Huyo jamaa kosa lake lilikua mfumo wake tu 352 ulikua mfumo wa kipuuzi sana, na laiti tungeendelea kumchekea angetushusha daraja.
  11. Kitoabu

    Fahamu kuhusu Uume Kuvunjika (Penile Fracture)

    Brother watu hao ni wakuwaonea huruma kabisa. Wengi wao ni majob less, wapo mitandaoni kutukana viongozi na watu wote walio fanikiwa kimaisha. Binafs huwa nawaita wapumbavu.
  12. Kitoabu

    Hasira za Mashabiki; Mangungu aokolewa na Polisi

    Sawa we mzee ulieanza kufatilia mpira kwenye mbili saba saba. Lakini hili halibadilishi kitu kuwa wewe ni mbumbumbu (kwa mujibu wa Aden Rage) Hivi nikikuuliza kosa la Mangungu ni lipi lililo pelekea jana mumfanyie fujo utanieleza? Mbona timu ikishinda ama ikisajili hamumsifii badala...
  13. Kitoabu

    Sasa mlitaka kumpiga Mangungu jana ni Mpumbavu mwenzenu gani akiwadanganya tatizo Kuu la Simba SC ni yeye tu peke yake?

    Nchi gani inayo vuja damu mpumbavu wewe? Hebu tutolee huu upuuzi wako hupa. Unafaidika na nini na siasa za kusadikika kwenye maisha yako. Democracy hata hizo nchi zilizo endelea imekua kuzungumkuti sembuse huku Dunia ya tatu? Tafuta pesa, kama huna pesa njoo nikuajili ili...
  14. Kitoabu

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Chama limeanza kurudi kwenye enzi zake sasa. Mdogo mdogo heshima inaanza kurudi.
  15. Kitoabu

    FT| Esperance 1-0 Simba SC l CAF champion League l Hammadi Agrebi Stadium l 24 Jan 2026 l 19:00HRS

    Aibu ni kiswahili cha mkoa Mara kama sikosei. Huku pwani (kwa waswahili) tunatumia neno HAIBU. Uyogwine?
Back
Top Bottom