Bing Bang Theory is real. Ask me anything about it here…

Bing Bang Theory is real. Ask me anything about it here…

Yeah and makes more logical sense than most theories we have heard.
Ila ina changamoto kidogo, kama big bang ndio mwanzo wa ulimwengu na mwanzo wa space and time, je hilo tukio lilitokea wapi wakati hakukuwa na space.

Kuna theory ya inflation na buble universe ndio zina make sense, kwamba big bang sio mwanzo wa kila kitu ila ni mwanzo wa ulimwengu wetu na kuna big bang nyingi zilishatokea na zitatokea bila mwisho
 
Ila ina changamoto kidogo, kama big bang ndio mwanzo wa ulimwengu na mwanzo wa space and time, je hilo tukio lilitokea wapi wakati hakukuwa na space.

Kuna theory ya inflation na buble universe ndio zina make sense, kwamba big bang sio mwanzo wa kila kitu ila ni mwanzo wa ulimwengu wetu na kuna big bang nyingi zilishatokea na zitatokea bila mwisho
Yeah sahihi still this theory Ina short coming zake. Ingawa it makes more sense that most theories pia inaweza kuwa proved it happened.
 
It is a theory ambayo unaelezea mwanzo wa ulimwengu. Tulianza kama big giantic body baadae due to high temperature the body ika expand over time forming stars and other heavenly bodies.
Sasa Je, hiyo big giantic body yenyewe ilitokea wapi?

na hiyo temperature ilitokea wapi pia (nini ilikuwa source ya hiyo temperature) ?
 
Hakuna anaejua, alie wahi kujua, atakae wahi kujua, Dunia ilianza vipi? Sio Dini wala Sayansi yenye majibu sahihi ya nini chanzo cha Dunia/uhai.

Tuendelee tu kulishana matango pori maisha yaendelee.
 
Hakuna anaejua, alie wahi kujua, atakae wahi kujua, Dunia ilianza vipi? Sio Dini wala Sayansi yenye majibu sahihi ya nini chanzo cha Dunia/uhai.

Tuendelee tu kulishana matango pori maisha yaendelee.
James Webb Space Telescope unaifaham?


Unaweza kuipinga kwa ushahidi gani JWST inasema uongo. Stars huko angani still Kuna ambazo zinapitia Supernova na JWST inaziona.

Still cosmic microwave za Bing Bang zipo na zimeweza kupimwa na vifaa kama Planck.

What caused Bing Bang kwel hatujui but Bing Bang happened Earth na Sayari zote za solar system ni result ya jua. Have you ever asked yourself why the first four planet Zina rock na surface?
 
Sasa Je, hiyo big giantic body yenyewe ikitokea wapi?

na hiyo temperature ilitokea wapi pia (nini ilikuwa source ya hiyo temperature) ?
Hamna anayejua kila mtu ana lake though Bing Bang is real na hadi sasa Kuna cosmic microwave background zipo angani na zinapimwa na vifaa mbalimbali.
 
Hamna anayejua kila mtu ana lake though Bing Bang is real na hadi sasa Kuna cosmic microwave background zipo angani na zinapimwa na vifaa mbalimbali.
👀
👃🏽
👅

Wewe unamaanisha nini, ukisema neno "ulimwengu"?
Je, ni:-
1. Planet earth?
2. Universe?

Tuanzie hapo kwanza, maana ninayo maswali lundo
 
Yeah sahihi still this theory Ina short coming zake. Ingawa it makes more sense that most theories pia inaweza kuwa proved it happened.
Mkuu, kitu hakiwezi kuwa real na theory at the same time,.. Ukisema Big bang ni real basi inabidi utuambie ni research gani umefanya mpaka ukaamua kuhitimisha hivyo,.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom