Hiyo kampeni ya wachina kumaliza punda wote wanaofanya kazi za kubeba mizigo ili wao wauze pikipiki zao. Ila Kwa uhakika wanakaribia kushinda maana karibia mataifa yote waliokuwa wanatumia punda kusafisha mizigo wanaelekea kumalizika.
Inawezekana mkeo huwa anakubamiza makonde hivyo lazima uchelewe kurudi ili kupunguza maumivu ila kama una hitaji watoto wajue umuhimu wa Baba nyumbani, utafanya Yale Baba anastahili
Hii imemaliza kabisa. Umeongea ukweli japo najua kuna watakao kupinga lakini ukweli ndio huo. Huwa watu wengi tukipata pesa tunasahau kuna kesho baada ya leo.
Mwenyezi Mungu ampe wepesi bondia wetu mpendwa apate kupona
Vipi kuhusu 🇨🇳 China, Eswatini, North Korea 🇰🇵, 🇰🇷South Korea, Dubai, UAE, 🇶🇦Qatar, na baadhi ya mataifa yanayoongozwa na aflame na malkia, vipi hukusu maendeleo yao na demokrasia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.