unapenda fupi eeh?
Na wewe mali yako ikiibwa na hao jamaa utatoa ndefu tu.Ndefu mno
Na wewe mali yako ikiibwa na hao jamaa utatoa ndefu tu.
Yaani umpatie sadaka iliyonona na inayouuma (yaani kubwa karibu kuzidi uwezo wako), zaka, mavuno, malimbuko, matendo ya huruma kwa maana ya kuweka 'hazina mbinguni'. Kwa nini yeye aitumie hapa duniani badala ya mbinguni pia?Kuibwa kiaje aje mkuu?
Yaani umpatie sadaka iliyonona na inayouuma (yaani kubwa karibu kuzidi uwezo wako), zaka, mavuno, malimbuko, matendo ya huruma kwa maana ya kuweka 'hazina mbinguni'. Kwa nini yeye aitumie hapa duniani badala ya mbinguni pia?
Hapana, tujifunze kusoma neno kwa neno hapo ndipo tutakwenda sawa. Tujitahidi maana kutosoma neno kwa neno unaweza kuza mara paaap umeteuliwa nenda kawakilishe kusini mkataba wa kununua bombadia. Between the line wanasema faida ya miaka 20 itakuwa ya wenye kampuni. Mara paaap tumekuja kufuata faida yetu ya miaka 20, sasa hapo sijui utakuwa umetusidia au umeshatuingiza cha kike. Kisa mkataba unamakaratasi ya VOLUME kubwaNdefu mno
Alafu nene....Ndefu mno
Umeona ee....