Am christian, i believe in Jesus and i believe in his miracles na nina amini wako wachungaji na maaskofu ambao kweli wana mcha Mungu na wanapokuombea kweli unapata uponyaji au kufungulia, ila tatizo unaloliona sasahivi kwanza si la kushangaza mana hata kwenye biblia takatifu ilishaandika kwamba nyakati za mwisho manabii wengi wa uongo watakuja na wataangamiza watu wengi sana, na pili the problem isn't them (hao manabii) bali waumini, watu hawamtafuti Mungu bali wanatafuta VITU, wamemgeuza Mungu kama mnganga wa kienyeji mtu anataka aendelee na maisha yake ya dhambi kama kawaida at the same time anatafuta baraka kutoka kwa Mungu ndo hao wanakimbilia kwa hao manabii wanaohubiri magari na nyumba na kuwa milionea sijui laana za ukoo yani wanaishia kudanganywa zaidi na kufanywa mazezeta zaidi. Na ndo mana unakuta mtu anakwambia ameokoka ila matendo yake utabaki mdomo wazi, mtu anakwambia ameokoka alivyovaa tena kanisani achia mbali mtaani hutaamini, ukimwambia anakwambia usimletee ulokole wa kizamani, na wachungaji wao wako kimya tu, sasa huwa najiuliza biblia ya zamani ni ipi na ya sasa ni ipi wanayotumia wao, watu wanazini humo makanisani kama hawana akili nzuri yani hata ile hofu ya Mungu ndani yao hakuna lakini ndo hao hao wanakwambia tumeokoka, hizo nyimbo za sikuhizi sasa ndo uuuuwi sometime unazima hadi radio hizo video ndo kabisaaaaa utachefukwa kiukweli kwenye gospel ni heri usikilize tu audio video nyingi zinakera alafu unaambiwa waimbaji wameokoka. Mungu atusaidie