Recent content by kitakacho

  1. K

    Nimeota:Ameamua kuachia kijiti

    Endelea kuota.
  2. K

    Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu

    Nani kasema wananchi hawautaki. Kwa pacent ngapi? Na huo utafiti umefanyika lini na wapi? Hii nchi ni ya Watanzania siyo ya wakatoliki. Kuna madhehebu mengi pamoja na waislamu. Inakkuwaje TEC wasemee wananchiwote hawautaki nani kawapa kibali cha kuwasemea wasio wakatoliki. Hata Mwenyeezi Mungu...
  3. K

    Rais Samia afanya uteuzi mpya na mabadiliko ya viongozi, MwanaFA ateuliwa kuwa Naibu Waziri

    Mwana FA msomi aliyepata shahada ya uzamili Uingereza na shahada ya kwanza IFM na Mbunge wa Muheza kwa nini asiwe naibu waziri. Acheni dharau pengine huna cv kama yake bado unamdharau
  4. K

    Waziri Makamba ameanza rasmi project alizotumwa TANESCO

    Nadhani una chuki na Makamba. Hii ni international tender. Mpaka mkataba usainiwe toka ilipotangazwa ni zaidi ya miezi minne. Maana yake Makamba ameikuta na kuingia mkataba. Ilikuwa ni mpango wa muda mrefu.
  5. K

    Naomba kueleweshwa suala la ndege ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi ya Tanzania Bara kupokelewa Zanzibar

    Air Tanzania ilianzishwa baada ya kuvunjika East African Airways ambapo mali zake ziligawanywa kwa nchi wanachama. Mali za Zanzibar zilijumuishwa kwenye mali za URT. Zanzibar ilikuwa mwanachama hivyo ATC ni ya URT.
  6. K

    Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza; Mvuvi Nigeria atafuna samaki mwenye thamani ya mabilioni ya shilingi bila kujua

    Mbona hapo ferry wanavuliwa na kuliwa. Wanaitwa sansuri au nduaro, ilikuwa alama kwenye pesa yetu.
  7. K

    TANZIA Sheikh Ahmed Haydar, Imam wa Masjid Mwinyi Kheri Akida afariki dunia

    Inna Lillah Wainna Ilayhi Rajuon. Allahu Waghrfillahu Warhamhum Waskanat Fil Janna. Allah awape moyo wa subira wafiwa na waumini wote.
  8. K

    TANZIA Waziri Awamu ya Tatu na Balozi Mstaafu Profesa Simon Mbilinyi afariki dunia Hospitali ya Agha Khan

    Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe. Alikuwa kiongozi mzuri, msikivu na mwenye busara. Alikuwa Katibu Mkuu wetu Wizara ya Kilimo
  9. K

    Yanga wameliingiza jina la Morison katika mfumo wa usajili

    Sio hivyo tu bro Jana tu Mwenyekiti kasema wanaomba wanachama wachange waongeze wachezaji wawili wa kimataifa. Kwa maana hiyo hawajamaliza usajili. Hii Ni njia ya kucheza na akili za Wana Yanga.
  10. K

    TANZIA Mfanyabiashara maarufu Dodoma, Calvin Maimu afariki dunia

    Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe. Rest in Peace brother mbele yako nyuma yetu. Poleni Sana familia ya Maimu
  11. K

    Shamsa Kombo mke wa Babu Tale hana kwao? Mbona kazikwa ukweni jamani?

    Kwa pwani na Morogoro mke huzikwa kwao hakuna Mila ya kuzikwa kwa mume. Ndiyo maana Iddi Take aliwashukuru wazazi wa Shamsa kwa kuwaruhusu kumzika mke wao kwao. Kwa mikoa ya pwani mke huzikwa kwa mume kwa ridhaa ya ndugu au wazazi wake.
  12. K

    Nimeshangazwa kusikia Chuo cha MUM (Muslim University of Morogoro) hakina weekend, hii imekaaje?

    Wahindi unawaona maofisini? Hawasomi hapa Tanzania? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. K

    Tanganyika haikuwahi kukaliwa na watu

    Henu fanya utafiti wako upya. Kumbuka pwani yote kulikuwa na dola ya Kilwa kwenye 1300 hivi. Na wakati mtawala wa Kilwa anaanzisha dola yake alinunua ardhi kwa mtawala mwenyeji. isajorsergio, Sent using Jamii Forums mobile app
  14. K

    Wanyama pori waipamba Ikulu, Hongera sana Rais Magufuli

    Wanyama walikuwepo ikulu toka enzi ya mwalimu Nyerere. Tukiwa wadogo tulikuwa tukienda kuangalia wanyama. Wakati huo kulikuwa na wavu tu. Na ndiyo mwanzo wa kuletwa tausi wa ikulu toka India. Ila Sasa wameongezwa wanyama wengine. Titicomb, Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom