njoo kwetu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 801
- 1,786
Kupumzika j.mosi na j.2 sio sheria ya nchi ila ni taratibu za nchi.
Mapumziko ni makubaliano yako wewe na mwajili wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapumziko ni makubaliano yako wewe na mwajili wako.
Wana JF,
Vipi, samahani nimeshangazwa na utaratibu wa Chuo cha MUM Morogoro kwamba lectures zinaendelea Jumamosi na Jumapili, kiufupi hamna siku free.
Hii imekaa vipi kitaaluma?
Sent using Jamii Forums mobile app