TANZIA Waziri Awamu ya Tatu na Balozi Mstaafu Profesa Simon Mbilinyi afariki dunia Hospitali ya Agha Khan

kabwigwa

JF-Expert Member
May 17, 2014
933
1,533
Mbilinyi.JPG

Nimepata habari kuwa Profesa Simon Mbilinyi amefariki dunia hospitali ya Agakhan. Marehemu aliwahi kuwa Waziri enzi za Mkapa kisha akajiuzulu.

Amewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho na pia amewahi kuwa Balozi Ubelgiji na Lexambourg kuanzia mwaka 1985 - 1989 alipokuja kubwagwa na Jenista Mhagama.

Simon.jpg

Profesa Simon Mbilinyi enzi za uhai wake akiwa na Mkewe Profesa Marjorie Mbilinyi​

RIP Prof Mbilinyi.

Pia soma
 
Huyu Marehemu ana undugu na aliyekuwa Mbunge mtukutu wa Mbeya mjini?
Maarufu Kama Sugu??
 

Attachments

  • images (12).jpeg
    images (12).jpeg
    21.6 KB · Views: 3
  • images (6).jpeg
    images (6).jpeg
    27.1 KB · Views: 2

Nimepata habari kuwa Profesa Simon Mbilinyi amefariki dunia hospitali ya Agakhan. Marehemu aliwahi kuwa waziri enzi za Mkapa kisha akajiuzulu.

Amewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho na pia amewahi kuwa Balozi Ubelgiji na Lexambourg kuanzia mwaka 1985 - 1989 alipokuja kubwagwa na Jenista Mhagama.

View attachment 1644634
Profesa Simon Mbilinyi enzi za uhai wake akiwa na Mkewe Profesa Marjorie Mbilinyi​

RIP Prof Mbilinyi.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe. Alikuwa kiongozi mzuri, msikivu na mwenye busara. Alikuwa Katibu Mkuu wetu Wizara ya Kilimo
 
Profesa Mbilinyi nakumbuka wakati akiwa Waziri wa Fedha naibu wake alikuwa Kilonzo Mpologomyi, Muha wa Kigoma mjanja mjanja hivi...
Jamaa alikuwa very smart hasa pale anapojibu maswali ya nyongeza Bungeni....

Rip, Mh Profesa Saimon Mbilinyi...

Inasemekana ile KIBADAMO Hotel pale Ubungo ni yake...
 
Ubalozi enzi hizo ulikuwa ukigombewa mpaka akabwagwa! Maajabu!
 
Back
Top Bottom