Nimekuwa mtumwa wa mda mrefu sana na hii kitu tafadhari msaada wakuu mwenye maujuzi ya kunifanya niachane na hii kitu yaani (pombe)
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu unapaswa umshukru mungu kwa kila jambo pengine utajifunza kitu kupitia hayo majaribu, jipe moyo na useme kimoyomoyo IPO siku na mimi nitakuwa wathamani kama wengine kwani ndugu shida hazikupandwa kwako. ONE DAY YES
Kumbuka pia faida ni bora kuriko mshahara. Kwa sababu mshahara utakufanya uyaishi maisha bila kupiga hatua ila faida itayaendesha maisha yako nautaweka akiba kwa kiasi cha pesa itakayo baki ukiwa business man, niheri ukawa ndani ya ajira na huku ukiwa na kitega uchumi mbadala kwa ajiri ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.