Recent content by kisinzadaud

  1. kisinzadaud

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Nimekuwa nikijitahidi sana kuacha laikini inaniwia ngumu kama kuna alternative ways to stop it please help me!! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. kisinzadaud

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Nimekuwa mtumwa wa mda mrefu sana na hii kitu tafadhari msaada wakuu mwenye maujuzi ya kunifanya niachane na hii kitu yaani (pombe) Sent using Jamii Forums mobile app
  3. kisinzadaud

    Dunia ni gereza la roho za wafu

    Umenena ukweli mtupu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. kisinzadaud

    Kama ningejua shemeji yupo hivi nsingeruhusu Dada yangu aolewe naye. Nataka nivunje ndoa yao.

    Pole sana mkuu unapaswa umshukru mungu kwa kila jambo pengine utajifunza kitu kupitia hayo majaribu, jipe moyo na useme kimoyomoyo IPO siku na mimi nitakuwa wathamani kama wengine kwani ndugu shida hazikupandwa kwako. ONE DAY YES
  5. kisinzadaud

    Siri za utajiri (secrets of the rich)

    Asante pia kwa kutoa Elimu kuhusu suala zima lapesa na namna ya kuicontro pesa. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. kisinzadaud

    Pamoja na udogo wake ila mshahara wa serikali ni mtamu bhana

    Kumbuka pia faida ni bora kuriko mshahara. Kwa sababu mshahara utakufanya uyaishi maisha bila kupiga hatua ila faida itayaendesha maisha yako nautaweka akiba kwa kiasi cha pesa itakayo baki ukiwa business man, niheri ukawa ndani ya ajira na huku ukiwa na kitega uchumi mbadala kwa ajiri ya...
  7. kisinzadaud

    Ni aibu kwa mwanaume

    Patamu hapooo
  8. kisinzadaud

    Nimeamini Wanawake hawakopeshwi pesa

    Nimoja ya changamoto ndugu ya kukuludisha nyuma kimaendeleo. Mshukru mungu tu kwa kila jambo pengine huwezi jua kumbe ndo kimbilio lako la badayee.
  9. kisinzadaud

    Mwanamke anaridhishwa na nini?

    Kuhusu mwanamke unaweza kumlidhisha kwa namna nyjngi ,moja wapo ni kumlidhisha kitabia upendo na maneno ya busara na si kimapenzi tuu!!
Back
Top Bottom