Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 16,352
- 22,963
Hii ni dunia mami kumbuka. Waliojaribu na kufanya ubabe (Jameh, Mobutu, Amin, Hitler, Bokassa Gbagbo etc) history imewahukumu. WaTz hawakuzoea ubabe na history lazima ihukumu . Omba uhai utashuhudia . Wale nao walitumia vyombo vya dola kwa kigezo cha uzalendo.kumbuka kuidanganya mahakama ni kosa.Wadhamini wameshiriki kosa hilo.Ningekuwa mimi nihakim ningefunga na wadhamini wake
Sakata la kina Mbowe unajuwa lilivyoviringwa hasa baada askari kumuua Akwilina. Watu wanatafuta pa kufichia udhaifu ule. After all Mbowe ni mbunge na kiongozi rasmi wa upinzani bungeni. Kwa hadhi wako sawa na PM bungeni. Sasa kupata dharura iwe ya ugonjwa ,safari ,au hata kufiwa. mahakama zetu zinazoongozwa na wanaadamu zinatakiwa kuongozwa busara kuliko nguvu . Na kwa nguvu hizi wanamharibia jamaa badala ya kumtengenezea. Kwa sababu itaonekana anatumia mkono wa chuma badala ya utawala wa sheria. Sawa mami (ole mhola ahene) [emoji16][emoji23][emoji1787][emoji40]